< Psaumes 108 >
1 Cantique. Psaume de David. Mon cœur est affermi, ô Dieu! Je chanterai, je ferai retentir mes instruments: c’est ma gloire!
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Réveillez-vous, mon luth et ma harpe! Je réveillerai l’aurore.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Je te louerai parmi les peuples, Éternel! Je te chanterai parmi les nations.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Car ta bonté s’élève au-dessus des cieux, Et ta fidélité jusqu’aux nues.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Élève-toi sur les cieux, ô Dieu! Et que ta gloire soit sur toute la terre!
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Afin que tes bien-aimés soient délivrés, Sauve par ta droite, et exauce-nous!
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Dieu a dit dans sa sainteté: Je triompherai, Je partagerai Sichem, je mesurerai la vallée de Succoth;
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 A moi Galaad, à moi Manassé; Éphraïm est le rempart de ma tête, Et Juda, mon sceptre;
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab est le bassin où je me lave; Je jette mon soulier sur Édom; Je pousse des cris de joie sur le pays des Philistins!
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Qui me mènera dans la ville forte? Qui me conduit à Édom?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 N’est-ce pas toi, ô Dieu, qui nous as repoussés, Et qui ne sortais plus, ô Dieu, avec nos armées?
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Donne-nous du secours contre la détresse! Le secours de l’homme n’est que vanité.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 Avec Dieu, nous ferons des exploits; Il écrasera nos ennemis.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.