< Psaumes 100 >
1 Psaume de louange. Poussez vers l’Éternel des cris de joie, Vous tous, habitants de la terre!
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Servez l’Éternel, avec joie, Venez avec allégresse en sa présence!
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Sachez que l’Éternel est Dieu! C’est lui qui nous a faits, et nous lui appartenons; Nous sommes son peuple, et le troupeau de son pâturage.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Entrez dans ses portes avec des louanges, Dans ses parvis avec des cantiques! Célébrez-le, bénissez son nom!
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 Car l’Éternel est bon; sa bonté dure toujours, Et sa fidélité de génération en génération.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.