< Job 35 >

1 Élihu reprit et dit:
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2 Imagines-tu avoir raison, Penses-tu te justifier devant Dieu,
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 Quand tu dis: Que me sert-il, Que me revient-il de ne pas pécher?
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 C’est à toi que je vais répondre, Et à tes amis en même temps.
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 Considère les cieux, et regarde! Vois les nuées, comme elles sont au-dessus de toi!
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 Si tu pèches, quel tort lui causes-tu? Et quand tes péchés se multiplient, que lui fais-tu?
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 Si tu es juste, que lui donnes-tu? Que reçoit-il de ta main?
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 Ta méchanceté ne peut nuire qu’à ton semblable, Ta justice n’est utile qu’au fils de l’homme.
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 On crie contre la multitude des oppresseurs, On se plaint de la violence d’un grand nombre;
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 Mais nul ne dit: Où est Dieu, mon créateur, Qui inspire des chants d’allégresse pendant la nuit,
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 Qui nous instruit plus que les bêtes de la terre, Et nous donne l’intelligence plus qu’aux oiseaux du ciel?
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 On a beau crier alors, Dieu ne répond pas, A cause de l’orgueil des méchants.
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 C’est en vain que l’on crie, Dieu n’écoute pas, Le Tout-Puissant n’y a point égard.
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 Bien que tu dises que tu ne le vois pas, Ta cause est devant lui: attends-le!
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 Mais, parce que sa colère ne sévit point encore, Ce n’est pas à dire qu’il ait peu souci du crime.
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 Ainsi Job ouvre vainement la bouche, Il multiplie les paroles sans intelligence.
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”

< Job 35 >