< 1 Chroniques 12 >

1 Voici ceux qui se rendirent auprès de David à Tsiklag, lorsqu’il était encore éloigné de la présence de Saül, fils de Kis. Ils faisaient partie des vaillants hommes qui lui prêtèrent leur secours pendant la guerre.
Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
2 C’étaient des archers, lançant des pierres de la main droite et de la main gauche, et tirant des flèches avec leur arc: ils étaient de Benjamin, du nombre des frères de Saül.
Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
3 Le chef Achiézer et Joas, fils de Schemaa, de Guibea; Jeziel, et Péleth, fils d’Azmaveth; Beraca; Jéhu, d’Anathoth;
Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
4 Jischmaeja, de Gabaon, vaillant parmi les trente et chef des trente; Jérémie; Jachaziel; Jochanan; Jozabad, de Guedéra;
Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
5 Éluzaï; Jerimoth; Bealia; Schemaria; Schephathia, de Haroph;
Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
6 Elkana, Jischija, Azareel, Joézer et Jaschobeam, Koréites;
Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
7 Joéla et Zebadia, fils de Jerocham, de Guedor.
Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
8 Parmi les Gadites, des hommes vaillants partirent pour se rendre auprès de David dans la forteresse du désert, des soldats exercés à la guerre, armés du bouclier et de la lance, semblables à des lions, et aussi prompts que des gazelles sur les montagnes.
Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
9 Ézer, le chef; Abdias, le second; Éliab, le troisième;
Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
10 Mischmanna, le quatrième; Jérémie, le cinquième;
Mishimana wanne, Yeremia watano,
11 Attaï, le sixième; Éliel, le septième;
Atai wasita, Elieli wasaba,
12 Jochanan, le huitième; Elzabad, le neuvième;
Yohana wanane, Elizabadi watisa,
13 Jérémie, le dixième; Macbannaï, le onzième.
Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
14 C’étaient des fils de Gad, chefs de l’armée; un seul, le plus petit, pouvait s’attaquer à cent hommes, et le plus grand à mille.
Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
15 Voilà ceux qui passèrent le Jourdain au premier mois, lorsqu’il débordait sur toutes ses rives, et qui mirent en fuite tous les habitants des vallées, à l’orient et à l’occident.
Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
16 Il y eut aussi des fils de Benjamin et de Juda qui se rendirent auprès de David dans la forteresse.
Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
17 David sortit au-devant d’eux, et leur adressa la parole, en disant: Si vous venez à moi dans de bonnes intentions pour me secourir, mon cœur s’unira à vous; mais si c’est pour me tromper au profit de mes ennemis, quand je ne commets aucune violence, que le Dieu de nos pères le voie et qu’il fasse justice!
Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
18 Amasaï, l’un des principaux officiers, fut revêtu de l’esprit, et dit: Nous sommes à toi, David, et avec toi, fils d’Isaï! Paix, paix à toi, et paix à ceux qui te secourent, car ton Dieu t’a secouru! Et David les accueillit, et les plaça parmi les chefs de la troupe.
Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
19 Des hommes de Manassé se joignirent à David, lorsqu’il alla faire la guerre à Saül avec les Philistins. Mais ils ne furent pas en aide aux Philistins; car, après s’être consultés, les princes des Philistins renvoyèrent David, en disant: Il passerait du côté de son maître Saül, au péril de nos têtes.
Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
20 Quand il retourna à Tsiklag, voici ceux de Manassé qui se joignirent à lui: Adnach, Jozabad, Jediaël, Micaël, Jozabad, Élihu et Tsilthaï, chefs des milliers de Manassé.
Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
21 Ils prêtèrent leur secours à David contre la troupe (des pillards Amalécites), car ils étaient tous de vaillants hommes, et ils furent chefs dans l’armée.
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
22 Et de jour en jour des gens arrivaient auprès de David pour le secourir, jusqu’à ce qu’il eût un grand camp, comme un camp de Dieu.
Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
23 Voici le nombre des hommes armés pour la guerre qui se rendirent auprès de David à Hébron, afin de lui transférer la royauté de Saül, selon l’ordre de l’Éternel.
Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
24 Fils de Juda, portant le bouclier et la lance, six mille huit cents, armés pour la guerre.
Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
25 Des fils de Siméon, hommes vaillants à la guerre, sept mille cent.
Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
26 Des fils de Lévi, quatre mille six cents;
Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
27 et Jehojada, prince d’Aaron, et avec lui trois mille sept cents;
Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
28 et Tsadok, vaillant jeune homme, et la maison de son père, vingt-deux chefs.
Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
29 Des fils de Benjamin, frères de Saül, trois mille; car jusqu’alors la plus grande partie d’entre eux étaient restés fidèles à la maison de Saül.
Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
30 Des fils d’Éphraïm, vingt mille huit cents, hommes vaillants, gens de renom, d’après les maisons de leurs pères.
Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
31 De la demi-tribu de Manassé, dix-huit mille, qui furent nominativement désignés pour aller établir roi David.
Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
32 Des fils d’Issacar, ayant l’intelligence des temps pour savoir ce que devait faire Israël, deux cents chefs, et tous leurs frères sous leurs ordres.
Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
33 De Zabulon, cinquante mille, en état d’aller à l’armée, munis pour le combat de toutes les armes de guerre, et prêts à livrer bataille d’un cœur résolu.
Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
34 De Nephthali, mille chefs, et avec eux trente-sept mille, portant le bouclier et la lance.
Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
35 Des Danites, armés pour la guerre, vingt-huit mille six cents.
Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
36 D’Aser, en état d’aller à l’armée et prêts à combattre: quarante mille.
Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
37 Et de l’autre côté du Jourdain, des Rubénites, des Gadites, et de la demi-tribu de Manassé, avec toutes les armes de guerre, cent vingt mille.
Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
38 Tous ces hommes, gens de guerre, prêts à combattre, arrivèrent à Hébron en sincérité de cœur pour établir David roi sur tout Israël. Et tout le reste d’Israël était également unanime pour faire régner David.
Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
39 Ils furent là trois jours avec David, mangeant et buvant, car leurs frères leur avaient préparé des vivres.
Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
40 Et même ceux qui habitaient près d’eux jusqu’à Issacar, à Zabulon et à Nephthali, apportaient des aliments sur des ânes, sur des chameaux, sur des mulets et sur des bœufs, des mets de farine, des masses de figues sèches et de raisins secs, du vin, de l’huile, des bœufs et des brebis en abondance, car Israël était dans la joie.
Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea

< 1 Chroniques 12 >