< Psaumes 1 >
1 Heureux l'homme qui n'est point allé au conseil des impies qui ne s'est pas arrêté dans la voie des pécheurs et ne s'est point assis dans la chaire de pestilence,
Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
2 Mais dont la volonté est conforme à la loi du Seigneur, et qui, nuit et jour, méditera sur cette loi.
Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
3 Il sera comme l'arbre planté au bord des eaux, et qui donnera son fruit en sa saison; ses feuilles ne tomberont jamais, et en toutes ses œuvres il prospérera.
Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
4 Ils ne sont pas ainsi les impies, ils ne sont pas ainsi; mais ils sont comme la paille que le vent balaie sur la face de la terre.
Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 C'est pourquoi les impies ne ressusciteront pas dans le jugement, ni les pécheurs dans l'assemblée des justes.
Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Car le Seigneur connaît la voie des justes; et la voie des pécheurs périra.
Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.