< Psaumes 87 >
1 Psaume et cantique des fils de Koré. Les fondements de Sion sont sur les montagnes saintes.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 Le Seigneur aime ses portes plus que toutes les tentes de Jacob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 On a dit de toi des choses glorieuses, ô cité de Dieu!
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 Je rappellerai Raab et Babylone à ceux qui me connaissent. Et voilà que les étrangers et Tyr, et le peuple des Éthiopiens s'y sont réunis.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Un homme dira: Ma mère est Sion; et cet homme y est né, et le Très-Haut lui-même en a été le fondateur.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Le Seigneur racontera cela dans l'écrit des peuples et des princes qui sont nés dans Sion.
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Pour tous, habiter en toi, c'est habiter dans la joie.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”