< Psaumes 83 >
1 Cantique et Psaume d'Asaph. O Dieu, qui sera semblable à toi? Ne garde point le silence, ô Dieu, ne te tiens pas en repos.
Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
2 Car voilà que tes ennemis ont crié, et que ceux qui te haïssent ont levé la tête.
Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
3 Ils ont formé de perfides conseils, ils ont conspiré contre tes saints;
Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
4 Ils ont dit: Venez, et bouleversons-les; qu'ils ne soient plus une nation, et que l'on ne se souvienne plus du nom d'Israël.
“Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
5 Ils ont délibéré unanimement; ils ont fait ensemble alliance contre toi:
Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
6 Les tentes des Iduméens, et les Ismaélites, et Moab, et les Agaréniens,
Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
7 Et Gébal, et Ammon, et Amalec, et les étrangers avec les habitants de Tyr;
Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
8 Assur aussi est venu avec eux; ils sont les champions des fils de Lot.
Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
9 Fais-leur comme à Madian et Sisara, et comme à Jabin au torrent de Cison.
Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
10 Ils furent détruits à Endor; ils devinrent comme le fumier de la terre.
Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
11 Traite leurs princes comme Oreb et Zeb, et Zébée et Salmana, tous leurs princes,
Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
12 Qui ont dit: Possédons en héritage le sanctuaire de Dieu.
Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
13 Mon Dieu, fais qu'ils soient comme une roue, comme la paille devant la face du vent.
Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
14 Tel un feu brûle la forêt; telle une flamme incendie les montagnes:
Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
15 Ainsi tu les poursuis de ta tempête, et tu les trouble en ta colère.
Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16 Remplis leur face d'ignominie, et ils cherchent ton nom, Seigneur.
Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
17 Qu'ils rougissent de honte et soient remplis de trouble dans les siècles des siècles; qu'ils soient confondus, et qu'ils périssent.
Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
18 Et qu'ils connaissent que ton nom est le Seigneur, et que seul tu es le Très-Haut sur toute la terre.
Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.