< Psaumes 76 >

1 Jusqu'à la Fin. Jusqu'à la Fin avec les hymnes, psaume d'Asaph, chant concernant les Assyriens. Dieu est connu en Judée; son nom est grand en Israël.
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
2 Et son lieu est dans la paix, et sa demeure est dans Sion.
Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
3 C'est là qu'il a brisé la force des arcs, et les armures, et le glaive, et la guerre.
Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
4 Tu éclaires merveilleusement du haut des montagnes éternelles.
Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
5 Tous les insensés ont été troublés en leur cœur. Ils ont dormi leur sommeil, et tous les favoris de la richesse n'ont rien trouvé dans leurs mains.
Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
6 A tes approches, Dieu de Jacob, les cavaliers se sont endormis sur leurs chevaux.
Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
7 Tu es redoutable, et qui donc résisterait à ta colère?
Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
8 Du haut du ciel tu as fait entendre ton jugement; la terre a eu peur, et s'est tenue en repos,
Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
9 Lorsque Dieu s'est levé pour juger et pour sauver les doux en leur cœur.
wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
10 La pensée de l'homme te rendra grâces, et le mémorial de cette pensée te fêtera.
Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
11 Faites des vœux à Dieu notre Seigneur, et accomplissez-les; tous ceux qui se rassemblent autour de lui feront des offrandes au Dieu terrible,
Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
12 A celui qui ôte l'esprit aux princes et qui est terrible aux rois de la terre.
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.

< Psaumes 76 >