< Psaumes 73 >

1 Psaume d'Asaph. Que Dieu est bon pour Israël, pour ceux qui sont droits en leur cœur!
Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio na moyo safi.
2 Peu s'en est fallu que mes pieds n'aient chancelé; peu s'en est fallu que mes pieds n'aient glissé.
Lakini kwangu mimi, kidogo tu miguu yangu iteleze; miguu yangu karibu iteleze kutoka kwangu
3 Car à voir la paix des pécheurs, je les avais enviés.
kwa sababu niliwaonea wivu wenye kiburi nilipoona mafanikio ya waovu.
4 En effets à leur mort ils ne font point paraître qu'ils la refusent, et ils ont de la fermeté en leurs châtiments.
Kwa maana hawana maumivu hadi kufa kwao, lakini wana nguvu na wameshiba.
5 Ils n'ont point les peines des autres hommes, et comme les autres hommes ils ne seront point flagellés.
Wako huru dhidi ya mizigo ya watu wengine; nao hawateswi kama watu wengine.
6 A cause de cela l'orgueil les possède; ils se sont revêtus de leur injustice et de leur impiété.
Kiburi kinawapamba kama mkufu kwenye shingo zao; jeuri huwavika kama vazi.
7 Leur injustice sortira de leur richesse comme de sa source; ils se sont adonnés aux caprices de leur cœur.
Katika upofu wa jinsi hii dhambi huja; mawazo maovu hupita mioyoni mwao.
8 Ils ont pensé et parlé méchamment; ils ont parlé du Très-Haut avec injustice.
Wao hudhihaki na kuongea kwa namna ya uovu; kwa kiburi chao hutishia mateso.
9 Ils ont fait usage de leur bouche contre le ciel, et leur langue a parcouru la terre.
Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
10 A cause de cela mon peuple y retournera, et une grande plénitude de jours sera trouvée en eux.
Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
11 Ils ont dit: Que sait Dieu? et comment y a-t-il quelque science dans le Très -Haut?
Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
12 Voilà les pécheurs qui prospèrent toujours; ils possèdent les richesses.
Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
13 Et moi-même j'ai dit: J'ai donc vainement rendu juste mon cœur, et levé mes mains parmi les innocents!
Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
14 J'ai été châtié tout le jour, et réprimandé tous les matins.
Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
15 Si j'avais parlé ainsi, voilà que j'eusse rompu mon alliance avec vos enfants.
Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
16 Et J'ai entrepris de comprendre ces choses; mais ce travail reste inconnu devant moi,
Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
17 Tant que je n'aurai pas pénétré dans le sanctuaire de Dieu; car c'est ainsi que je comprendrai les choses de la fin.
Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
18 Or donc, Seigneur, tu as rendu jugement contre eux à cause de leurs fourberies; et tandis qu'ils s'élevaient, tu les as renversés.
Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
19 Comment sont-ils tombés dans la désolation? Ils ont défailli soudain; ils ont péri à cause de leur iniquité.
Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
20 Comme le songe d'un homme qui s'éveille, Seigneur, dans ta cité tu mets à néant leur image.
Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
21 C'est pourquoi mon cœur s'est réjoui, et mes reins se sont reposés.
Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.
22 Parce que moi aussi j'avais été mis à néant, et j'en ignorais la cause;
Nilikuwa mjinga na sijui neno; nilikuwa kama mnyama tu mbele yako.
23 Devant toi, j'étais devenu comme une brute, et je restai sans cesse avec toi.
Lakini mimi nipo pamoja nawe daima; umenishika mkono wa kuume.
24 Mais tu m'as pris par la main droite, tu m'as conduit selon ta volonté; tu m'as accueilli avec honneur.
Utaniongoza kwa shauri lako na baadaye utanipokea katika utukufu.
25 Or, qu'ai-je au ciel? Et après toi, qu'ai-je désiré sur la terre?
Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
26 Ma chair et mon cœur ont défailli, ô Dieu de mon cœur, et Dieu est mon partage pour toujours.
Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
27 Car ceux qui se sont éloignés de toi périront, et tu as exterminé tous ceux qui se prostituaient loin de toi.
Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
28 Pour moi, il est bon que je m'attache à Dieu, que je place en Dieu mon espérance, que je chante ses louanges aux portes de la fille de Sion.
Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.

< Psaumes 73 >