< Psaumes 63 >
1 Psaume de David, quand il était dans l'Idumée. Dieu, ô mon Dieu, je veille pour toi dès l'aurore; mon âme a soif de toi; avec quelle ardeur ma chair te désire!
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Sur une terre déserte, sans chemin et sans eau, je me tiens devant toi, comme dans ton sanctuaire, pour contempler ta puissance et ta gloire.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 Ta miséricorde est préférable à toutes les vies, aussi mes lèvres te loueront-elles.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Je te bénirai tant que durera ma vie; j'élèverai les mains en ton nom.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Que mon âme soit remplie de moelle et de graisse, et que mes lèvres joyeuses chantent ton nom.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Je me suis souvenu de toi sur ma couche; dès l'aurore, je méditais sur toi.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 Car tu as été mon champion, et à l'ombre de tes ailes je tressaillirai de joie.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 Mon âme s'est attachée à te suivre, et ta droite m'a soutenu.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Vainement ils ont cherché mon âme; ils seront précipités dans les entrailles de la terre.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 Ils seront livrés à la violence du glaive; ils seront la proie des renards.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Cependant le roi se réjouira en Dieu; quiconque jure en lui sera loué, parce qu'il aura fermé la bouche de ceux qui proféraient l'iniquité.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.