< Psaumes 4 >
1 Jusqu'à la Fin, un cantique de David dans les Psaumes. Lorsque je l'eus invoqué, le Dieu de ma justice, il m'exauça; tu m'as dilaté en mon affliction. Aie pitié de moi, et exauce ma prière!
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
2 Fils des hommes, jusques à quand aurez-vous le cœur appesanti? D'où vient que tous aimez la vanité, et cherchez le mensonge? Interlude.
Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
3 Sachez donc que le Seigneur a rendu son Saint admirable; le Seigneur m'exaucera, lorsque je crierai vers lui.
Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
4 Indignez-vous, mais ne péchez pas; soyez touchés de componction de ce que vous méditez sur votre couche au fond de vos cœurs. Interlude.
Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
5 Offrez le sacrifice de justice, et espérez au Seigneur;
Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
6 Plusieurs disent: Qui nous fera voir les biens? Seigneur, la lumière de ta face est empreinte sur nous;
Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
7 Tu as mis la joie dans mon cœur. [Mes ennemis] se sont multipliés dans l'abondance de leur pain, de leur vin, de leur huile.
Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
8 Pour moi, je m'endormirai et me reposerai dans la paix; parce que toi, Seigneur, par une grâce singulière, tu m'as établi dans l'espérance.
Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.