< Psaumes 27 >

1 De David, avant son onction. Le Seigneur est ma lumière et mon salut: qui craindrai-je? Le Seigneur protège ma vie: de qui aurai-je peur?
Yahwe ni nuru yangu na wokovu wangu; nimuogope nani? Yahwe ni salama ya maisha yangu; ni mhofu nani?
2 Quand des hommes malfaisants se sont approchés de moi pour manger mes chairs, mes persécuteurs et mes ennemis eux-mêmes ont perdu leur force, et sont tombés.
Wakati waovu waliponijia kunila mwili wangu, wapinzani wangu na adui zangu walijikwaa na wakaanguka.
3 Lors même qu'une armée serait campée devant moi, mon cœur ne serait pas effrayé. Lors même que la guerre s'élèverait contre moi, mon espérance serait encore dans le Seigneur.
Ingawa jeshi hujipanga kupigana na mimi, moyo wangu hautaogopa; japo vita vijapo inuka kupigana nami hata hapo nitabaki kuwa jasiri.
4 J'ai demandé une chose au Seigneur, et je la demanderai toujours: c'est que j'habite en la maison du Seigneur tous les jours de ma vie, pour contempler la beauté du Seigneur et visiter son temple.
Kitu kimoja nimekiomba kwa Yahwe, nami nitakitafuta hicho: kwamba niweze kukaa katika nyumba ya Yahwe siku zote za maisha yangu, kuutazama uzuri wa Yahwe na kutafakari hekaruni mwake.
5 Car, aux jours de mon adversité, il m'a caché dans son tabernacle, il m'a abrité en son sanctuaire.
Kwa kuwa katika siku ya shida atanificha nyumbani mwake; atanificha katika mfuniko wa hema lake. Yeye ataniinua juu ya mwamba!
6 Il m'a établi sur le roc, et maintenant voici qu'il élève ma tête au- dessus de mes ennemis. Je me suis tenu autour de son tabernacle, et j'y ai fait une oblation d'allégresse; je chanterai un psaume au Seigneur, je le célébrerai.
Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya maadui wote wanizungukao, nami nitatoa sadaka ya furaha hemani mwake! Nitaimba na kutunga nyimbo kwa Yahwe!
7 Seigneur, sois attentif à ma voix et à mes cris; aie pitié de moi et exauce-moi.
Sikia, sauti yangu nikuitapo, Yahwe! Unihurumie, na unijibu!
8 Mon cœur t'a parlé, j'ai cherché ton visage. Seigneur, et je le chercherai toujours.
Moyo wangu huongea kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Nami nautafuta uso wako, Yahwe!
9 Ne détourne point de moi ta face; en ta colère ne t'éloigne pas de ton serviteur; sois mon aide, ne m'abandonne pas, ô Dieu mon Sauveur, ne me méprise pas.
Usiufiche uso wako mbali na mimi; usinikasirikie mimi mtumishi wako! Wewe umekuwa msaada wangu; usiniache wala kunitelekeza, Mungu wa wokovu wangu!
10 Car mon père et ma mère m'ont délaissé; mais le Seigneur lui-même m'a recueilli.
Hata kama baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yahwe utanitunza kwako.
11 Donne-moi la loi qui montre ta voie; guide-moi dans le droit chemin à cause de mes ennemis.
Unifundishe njia yako, Yahwe! Kwa sababu ya adui zangu uniongoze katika njia salama.
12 Ne me livre pas au mauvais vouloir de ceux qui m'affligent; car de faux témoins se sont levés contre moi, et l'iniquité a menti à elle-même.
Usiwaache adui zangu wanifanyie watamanivyo, kwa sababu mashahidi wa uongo wameinuka kinyume namimi, nao wanapumua vurugu!
13 Je crois que je verrai les biens du Seigneur sur la terre des vivants.
Kitu gani kingeweza kunitokea kama nisingeamini kuwa nitauona uzuri wa Yahwe katika nchi ya walio hai?
14 Attends le Seigneur, sois homme; que ton cœur se fortifie, et attends le Seigneur.
Umngoje Yahwe; uwe imara, na moyo wako uwe jasiri! Umngoje Yahwe!

< Psaumes 27 >