< Psaumes 20 >
1 Jusqu'à la Fin, psaume de David. Que le Seigneur t'exauce au jour de l'affliction; que le nom du Dieu de Jacob te protège!
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Que du lieu saint il t'envoie son secours, et que, de Sion, il prenne ta défense!
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Qu'il se souvienne de tout ton sacrifice, et que ton holocauste lui soit agréable!
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Qu'il te gratifie selon ton cœur et accomplisse tous tes desseins!
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Nous nous réjouirons de ton salut; nous serons glorifiés au nom du Seigneur notre Dieu. Que le Seigneur t'accorde toutes tes demandes!
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Je sais maintenant que le Seigneur a sauvé son Christ. Il l'exaucera du ciel son lieu saint; le salut qui vient de sa main droite est tout-puissant.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Les uns se glorifient en leurs chevaux, les autres en leurs chars; pour nous, c'est dans le nom du Seigneur que nous nous glorifions.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Ceux-là se sont embarrassés dans leurs liens, et ils sont tombés; nous nous sommes levés et nous nous tenons debout.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Seigneur, sauve le roi, et exauce-nous le jour où nous t'invoquerons.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.