< Psaumes 148 >
1 Alléluiah. Psaume d'Aggée et de Zacharie. Louez le Seigneur dans les cieux; louez-le sur les plus hautes cimes.
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2 Louez-le tous, ô vous qui êtes ses anges; louez-le, ô vous, ses Dominations.
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3 Louez-le, soleil et lune; louez-le toutes, étoiles et lumière.
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4 Louez-le, cieux des cieux; et que les eaux, au delà des cieux,
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5 Louent le nom du Seigneur: car il a dit, et tout a été fait; il a commandé, et tout a été créé.
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6 Il les a établies pour les siècles, et les siècles des siècles; il leur a posé une loi, et elle ne passera pas.
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7 Louez le Seigneur, louez-le sur la terre, serpents et abîmes;
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8 Feu, grêle, neige, glace, souffle des tempêtes, vous qui exécutez sa parole;
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
9 Et vous tous, monts et collines, vous tous, arbres fruitiers et cèdres;
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
10 Et vous tous, bêtes fauves et troupeaux, reptiles et oiseaux ailés;
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
11 Et vous tous, rois de la terre et peuples, princes et juges de la terre.
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
12 Que les adolescents et les vierges, que les vieux et les jeunes louent le nom du Seigneur;
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
13 Car seul son nom est grand, seul son nom est élevé. Sa louange est sur la terre et dans le ciel.
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
14 Et il exaltera le front de son peuple. Cet hymne est pour tous ses saints, et pour les fils d'Israël, pour le peuple qui s'approche de lui.
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.