< Psaumes 146 >

1 Alléluiah. Psaume d'Aggée et de Zacharie. Ô mon âme, loue le Seigneur;
Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
2 Je louerai le Seigneur toute ma vie; je chanterai des psaumes à mon Dieu tant que j'existerai. Ne mettez point votre confiance dans les princes,
Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
3 Ni dans les fils des hommes; car ils n'ont point de salut.
Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
4 Leur esprit s'évanouira, et ils retourneront en leur terre; en ce jour- là périront toutes leurs pensées.
Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5 Heureux celui qui a pour champion le Dieu de Jacob, son espérance dans le Seigneur son Dieu,
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6 Qui a créé le ciel et la terre, et la mer, et tout ce qu'ils renferment;
Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
7 Qui garde la vérité dans tous les siècles, qui rend justice aux opprimés; qui donne aux pauvres la nourriture. Le Seigneur délivre ceux qui sont enchaînés.
Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
8 Le Seigneur rend sages les aveugles; le Seigneur relève ceux qui sont brisés; le Seigneur aime les justes.
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
9 Le Seigneur garde les étrangers; il secourt l'orphelin et la veuve, et il exterminera la voie des pécheurs.
Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
10 Le Seigneur ton Dieu, ô Sion, régnera dans tous les siècles, de génération en génération.
Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.

< Psaumes 146 >