< Psaumes 142 >

1 Psaume de méditation de David lorsqu'il était dans la caverne en prière. J'ai crié de ma voix au Seigneur; j'ai conjuré de ma voix le Seigneur.
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi. Namlilia Bwana kwa sauti, nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.
2 J'épancherai devant lui ma prière; je lui ferai entendre, en sa présence, mon affliction.
Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.
3 Pendant que mon esprit était en défaillance, toi aussi tu connaissais mes sentiers; dans la voie où j'étais cheminant, ils avaient caché pour moi des filets.
Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita watu wameniwekea mtego.
4 Je regardais à ma droite, je voyais, et il n'était personne qui me connût; tout refuge m'était ôté, et nul n'était là pour me sauver la vie.
Tazama kuume kwangu na uone, hakuna hata mmoja anayejihusisha nami. Sina kimbilio, hakuna anayejali maisha yangu.
5 J'ai crié vers toi, Seigneur, et j'ai dit: tu es mon espérance et mon partage en la terre des vivants.
Ee Bwana, nakulilia wewe, nasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.”
6 Sois attentif à ma supplication, car je suis humilié à l'excès; délivre- moi de ceux qui me poursuivent, car ils sont plus forts que moi.
Sikiliza kilio changu, kwa sababu mimi ni mhitaji sana; niokoe na wale wanaonifuatilia, kwa kuwa wamenizidi nguvu.
7 Tire mon âme de sa prison pour qu'elle rende grâces à ton nom, Seigneur; et les justes m'attendront jusqu'à ce que tu m'aies récompensé.
Nifungue kutoka kifungo changu, ili niweze kulisifu jina lako. Ndipo wenye haki watanizunguka, kwa sababu ya wema wako kwangu.

< Psaumes 142 >