< Psaumes 140 >
1 Jusqu'à la Fin. Psaume de David. Seigneur, délivre-moi de l'homme pervers; arrache-moi des mains de l'homme inique.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu; nilinde na watu wenye jeuri,
2 Ceux qui n'ont eu que des pensées iniques dans le cœur, préparaient contre moi des attaques tout le jour.
ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao, na kuchochea vita siku zote.
3 Ils ont aiguisé leur langue comme celle du serpent; le venin de l'aspic est sous leurs lèvres.
Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka, sumu ya nyoka iko midomoni mwao.
4 Garde-moi, Seigneur, de la main du pécheur; arrache-moi des mains des hommes iniques. Ils se proposaient de faire trébucher mes pas:
Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu; nilinde na watu wenye jeuri wanaopanga kunikwaza miguu yangu.
5 Les superbes m'ont dressé des pièges cachés; et ils ont tendu des cordes, pour que mes pieds s'y prennent; sur mon chemin, ils ont mis des pierres de scandale.
Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa, wametandaza kamba za wavu wao, wametega mitego kwenye njia yangu.
6 J'ai dit au Seigneur: tu es mon Dieu; Seigneur, prête l'oreille à la voix de ma prière.
Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.” Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.
7 Seigneur, Seigneur, force de mon salut, tu as mis ma tête à l'ombre le jour du combat.
Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu, unikingaye kichwa changu siku ya vita:
8 Seigneur, ne me livre pas au pécheur contre mon désir; ils ont eu de mauvaises pensées contre moi; ne m'abandonne point, de peur qu'ils ne soient exaltés.
Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao, usiache mipango yao ikafanikiwa, wasije wakajisifu.
9 Le résultat de leurs artifices, le labeur de leurs lèvres les envelopperont eux-mêmes.
Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe na shida zinazosababishwa na midomo yao.
10 Des charbons embrasés les atteindront sur la terre; et tu les feras tomber dans les douleurs, et ils ne les pourront supporter.
Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.
11 L'homme qui parle trop ne marchera pas droit sur la terre; les calamités pourchasseront l'homme inique jusqu'à la mort.
Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi; maafa na yawawinde watu wenye jeuri.
12 Je sais que le Seigneur fera justice au pauvre, et droit à l'indigent.
Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki, na kuitegemeza njia ya mhitaji.
13 Cependant les justes rendront gloire à ton nom, et les cœurs droits habiteront avec ta face.
Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.