< Psaumes 135 >
1 Alléluiah! Louez le Seigneur, ô vous qui êtes ses serviteurs; louez le Seigneur!
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 Vous qui vous tenez en sa maison, dans les parvis de la maison de notre Dieu,
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Louez le Seigneur, parce que le Seigneur est bon; chantez des psaumes à son nom, parce que son nom est beau.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Car le Seigneur a choisi Jacob pour être à lui Jacob, et Israël pour être sa possession.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Et moi j'ai reconnu que le Seigneur est grand, que notre Dieu est au- dessus de tous les dieux.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Tout ce que le Seigneur a voulu, il l'a fait; dans le ciel et sur la terre, et dans la mer, et dans tous les abîmes.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Il amène les nuées des extrémités de la terre; il change les éclairs en pluie. C'est lui qui tire les vents de ses trésors.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 C'est lui qui a frappé les premiers-nés d'Egypte, depuis l'homme jusqu'aux troupeaux;
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Lui qui a envoyé ses signes et ses prodiges au milieu de toi, Egypte, devant le Pharaon et tous ses serviteurs;
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Lui qui a frappé maintes nations et tué des rois puissants:
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Séhon, roi des Amorrhéens et Og, roi de Basan, et tous les rois chananéens;
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Et qui a donné leur héritage en héritage à Israël, son peuple.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Seigneur, ton nom est éternel, et ta mémoire passe de génération en génération.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Car le Seigneur jugera son peuple, et il écoutera les prières de ses serviteurs.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Les idoles des Gentils sont argent et or, œuvres des mains des hommes.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Elles ont une bouche, et ne parleront pas; elles ont des yeux, et ne verront pas.
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 Elles ont des oreilles, et n'entendront pas [des narines, et ne sentent pas, des mains et ne touchent pas, des pieds et ne marchent pas, et il n'y a pas de voix dans leur gosier]; et il n'est point de souffle en leur bouche.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Que ceux qui les font leur deviennent semblables, et tous ceux qui croient en elles.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Maison d'Israël, bénis le Seigneur; maison d'Aaron, bénis le Seigneur.
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Maison de Lévi, bénis le Seigneur; vous qui craignez le Seigneur, bénissez le Seigneur.
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Béni soit le Seigneur en Sion, lui qui habite Jérusalem!
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.