< Psaumes 130 >
1 En Jérusalem. Des profondeurs de l'abîme, j'ai crié vers toi, Seigneur.
Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Seigneur, écoute ma voix; que ton oreille soit attentive à la voix de ma prière.
Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
3 Si tu regardes nos iniquités, Seigneur, Seigneur, qui soutiendra ton regard?
Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
4 Car la miséricorde est en toi; à cause de ton nom, je t'ai attendu, Seigneur. Mon âme a mis son attente en ta parole.
Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
5 Mon âme a espéré dans le Seigneur.
Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
6 Que depuis la veille du matin jusqu'à la nuit, Israël espère dans le Seigneur.
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
7 Car la miséricorde est dans le Seigneur, et une abondante rédemption est en lui.
Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
8 Et c'est lui qui rachètera Israël de toutes ses iniquités.
Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.