< Psaumes 108 >
1 Cantique et psaume de David. Mon cœur est prêt, ô Dieu, mon cœur est prêt; je vais chanter des psaumes en ma gloire.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Réveillez-vous, ma harpe et ma cithare; je me lèverai dès l'aurore.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Seigneur, je te rendrai gloire parmi les peuples; je te chanterai des psaumes parmi les Gentils.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Car ta miséricorde est plus grande que les cieux; et ta vérité va jusqu'aux nues.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Dieu, sois exalté au-dessus des cieux; que ta gloire soit répandue sur toute la terre!
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Afin que tes bien-aimés soient délivrés, sauve-moi par ta droite, et exauce-moi.
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Dieu a parlé dans son sanctuaire; je me réjouirai, et je partagerai Sichem, et je mesurerai le val des Tabernacles.
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 A moi est Galaad, à moi Manassé; Ephraïm est l'appui de ma tête; Juda est mon roi,
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Et Moab le vase de mon espérance. Je poserai ma sandale sur l'Idumée, les étrangers me sont soumis.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Qui me ramènera dans la ville forte? Qui me guidera jusqu'à la terre d'Édom?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 N'est-ce pas toi, ô Dieu, qui nous avais repoussés; ô Dieu, toi qui ne sortais plus à la tête de nos armées?
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Donne-nous ton secours pour nous tirer de la tribulation; car il est vain, le salut qui vient de l'homme.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 En Dieu nous mettons notre force, et lui-même réduira à néant nos ennemis.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.