< Psaumes 106 >

1 Alléluiah! Rendez grâces au Seigneur, parce qu'il est bon, parce que sa miséricorde est éternelle.
Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Qui dira la puissance du Seigneur, qui fera entendre toutes ses louanges?
Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
3 Heureux ceux qui gardent ses jugements et qui font justice en tout temps!
Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
4 Souviens-toi de nous, Seigneur, avec ta bonté pour ton peuple; visite- nous avec ton salut;
Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
5 Afin que nous puissions avoir part aux biens de tes élus, nous réjouir de la joie de ton peuple, te glorifier avec ceux de ton héritage.
Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
6 Nous avons péché avec nos pères, nous avons violé ta loi, nous avons commis l'iniquité.
Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
7 Nos pères en Egypte ne comprirent point tes prodiges, et ils ne se souvinrent pas de l'abondance de ta miséricorde; et ils te provoquèrent, en arrivant à la mer Rouge.
Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
8 Et il les sauva pour la gloire de son nom, et pour manifester sa puissance.
Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
9 Et il menaça la mer Rouge, et elle fut desséchée; et il les ramena dans l'abîme, comme dans le désert.
Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
10 Et il les sauva des mains de ceux qui les haïssaient, et il les racheta de la main de l'ennemi.
Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
11 L'eau couvrit ceux qui les opprimaient, et pas un d'eux n'échappa.
Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
12 Et ils eurent foi en ses paroles, et ils chantèrent ses louanges.
Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
13 Mais ils oublièrent bien vite ses œuvres; ils n'attendirent point son conseil.
Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
14 Et ils furent pris de concupiscence dans la solitude, et ils tentèrent Dieu dans le désert sans eau.
Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
15 Et il leur accorda ce qu'ils demandaient, et il envoya la satiété dans leur âme.
Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
16 Et ils irritèrent Moïse dans le camp, et Aaron le saint du Seigneur.
Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
17 La terre s'ouvrit, et elle engloutit Dathan, et engouffra le rassemblement d'Abiron.
Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
18 Et la flamme dévora leur synagogue, et le feu consuma les pécheurs.
Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
19 Et ils se firent un veau en Choreb, et ils adorèrent une image sculptée.
Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
20 Et ils échangèrent leur gloire contre la statue d'un veau qui se repaît de fourrage.
Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
21 Ils oublièrent le Dieu qui les avait sauvés, qui avait fait de grandes choses en Egypte,
Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
22 Des prodiges en la terre de Cham, et des actions terribles sur la mer Rouge.
Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
23 Et il dit qu'il les exterminerait, si Moïse, son élu, ne s'était placé devant lui, et n'eût brisé l'idole, pour détourner sa fureur et l'empêcher de les détruire.
Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
24 Et ils méprisèrent comme rien la terre désirable, et n'eurent point foi en la parole de Dieu.
Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
25 Et ils murmurèrent sous leurs tentes, et n'écoutèrent point la voix du Seigneur!
bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
26 Et il leva la main sur eux pour les abattre dans le désert,
Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
27 Et pour rejeter leur race parmi les nations, et les disperser en diverses régions.
akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
28 Et ils se prostituèrent à Belphégor, et ils mangèrent des victimes sacrifiées aux morts.
Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
29 Et ils irritèrent Dieu par leurs désordres, et la ruine se multiplia chez eux.
Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
30 Et Phinéès se leva, et il apaisa le Seigneur, et la plaie cessa.
Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
31 Et cela lui fut imputé à justice, de génération en génération, dans tous les siècles.
Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
32 Et ils irritèrent Dieu vers les eaux de contradiction, et Moïse eut à souffrir de leur part;
Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
33 Parce qu'ils avaient rempli son esprit d'une amertume qui s'échappa de ses lèvres.
Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
34 Ils n'exterminèrent point les nations, comme le Seigneur le leur avait dit;
Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
35 Et ils se mêlèrent aux Gentils, et ils apprirent leurs œuvres,
bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
36 Et ils servirent leurs idoles, et ce fut pour eux un sujet de chute.
nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
37 Et ils sacrifièrent aux démons leurs fils et leurs filles.
Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
38 Et ils versèrent le sang innocent, le sang de leurs fils et de leurs filles, qu'ils immolèrent aux sculptures de Chanaan. Et la terre fut pleine de carnage et de sang.
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
39 Et elle fut souillée par leurs œuvres; et ils se prostituèrent en leurs passions.
Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
40 Et le Seigneur s'enflamma de colère contre son peuple, et il eut en abomination son héritage.
Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
41 Et il les livra aux mains de leurs ennemis, et ceux qui les haïssaient devinrent leurs maîtres.
Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
42 Et leurs ennemis les opprimèrent, et ils furent humiliés sous leurs mains.
Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
43 Souvent Dieu les sauva; mais ils l'irritèrent encore en leurs conseils, et ils furent humiliés dans leurs iniquités.
Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
44 Et le Seigneur les vit en leurs tribulations, et il écouta leur prière.
Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
45 Et il se souvint de son alliance, et il se repentit en la plénitude de sa miséricorde.
Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
46 Et il leur accorda ses miséricordes, en face de ceux qui les retenaient captifs.
Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
47 Sauve-nous, Seigneur notre Dieu, et rassemble-nous du milieu des Gentils, pour que nous proclamions ton saint nom et que nous mettions notre gloire à te louer.
Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
48 Béni soit le Seigneur, Dieu d'Israël, dans tous les siècles des siècles, et tout le peuple dira: Ainsi soit-il! Ainsi soit-il!
Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.

< Psaumes 106 >