< Psaumes 100 >
1 Un psaume d'action de grâce. Ô terre, poussez partout des cris de joie au Seigneur.
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Servez le Seigneur dans la joie. Entrez en sa présence, pleins d'allégresse.
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Sachez que le Seigneur, c'est Dieu même; c'est lui qui nous a faits, ce n'est pas nous; nous sommes son peuple et les brebis de son pâturage.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Pénétrez dans ses portes avec des actions de grâces; dans ses parvis avec des chants. Louez-le, célébrez son nom.
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 Car le Seigneur est doux, sa miséricorde est éternelle, et sa vérité demeure de génération en génération.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.