< Proverbes 20 >

1 Le vin est déréglé, et l'ivresse insolente; l'insensé se laisse prendre dans leurs filets;
Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
2 La menace d'un roi ne diffère point de la colère du lion; celui qui le provoque pèche contre sa propre vie.
Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
3 C'est une gloire pour un homme de se détourner des contestations; au contraire, le fou s'y laisse prendre.
Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
4 Le paresseux, quand on le blâme, n'en a point honte; il en est de même de celui qui emprunte du blé à usure pendant la moisson.
Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
5 Le conseil dans le cœur de l'homme est une eau profonde; l'homme prudent y saura puiser.
Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
6 Un homme est une grande chose; un homme miséricordieux est un trésor; mais un homme fidèle est difficile à trouver.
Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
7 L'homme irréprochable qui se tourne vers la justice laissera ses enfants heureux.
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
8 Lorsqu'un roi juste s'est assis sur son trône, nul mal ne résiste à ses regards.
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
9 Qui peut se vanter d'avoir le cœur chaste? Qui osera dire: Je suis pur de tout péché?
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
10 Avoir deux poids et deux mesures, et en faire usage: deux choses infâmes devant le Seigneur.
Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
11 Le jeune homme en compagnie d'un saint sera réservé dans ses mœurs, et sa voie sera droite.
Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.
12 L'oreille entend, et l'œil voit; l'un et l'autre sont l'œuvre du Seigneur.
Masikio yasikiayo na macho yaonayo, Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.
13 Ne te plais pas à médire, si tu ne veux être chassé. Ouvre les yeux, et rassasie-toi de pain.
Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.
Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.
Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.
20 La lampe de celui qui décrie son père ou sa mère s'éteindra; les prunelles de ses yeux verront les ténèbres.
Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.
21 Le bien acquis tout d'abord à la hâte, à la fin ne sera pas béni.
Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.
22 Garde-toi de dire: Je me vengerai de mon ennemi; mais attends le Seigneur, afin qu'Il te seconde.
Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!” Mngojee Bwana, naye atakuokoa.
23 Le double poids est en abomination au Seigneur, et les fausses balances ne sont point bonnes à Ses yeux.
Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu, nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
24 La marche d'un homme est maintenue droite par le Seigneur; car comment un mortel discernerait-il ses voies?
Hatua za mtu huongozwa na Bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?
25 L'homme tombe dans un piège, quand il se hâte trop de consacrer ses biens; car après le vœu vient le repentir.
Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.
26 Un roi sage est le vanneur des impies, et il fait passer sur eux une roue.
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
27 L'esprit de l'homme est une lumière du Seigneur, qui éclaire jusqu'au fonds des entrailles.
Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani.
28 La miséricorde et la vérité sont la garde du roi, et avec la justice elles font cercle autour de son trône.
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
29 L'ornement des jeunes gens c'est la sagesse; la parure des vieillards, ce sont leurs cheveux qui grisonnent.
Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.
30 Les confusions et les blessures sont le partage des méchants; ils ont des plaies jusqu'au fond des entrailles.
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

< Proverbes 20 >