< Néhémie 12 >

1 Et voici les prêtres et les lévites qui étaient revenus avec Zorobabel, fils de Salathiel et Josué: Saraïa, Jérémie, Esdras,
Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra,
2 Amarias, Maluch,
Amaria, Maluki, Hatushi,
3 Sechénias;
Shekania, Rehumu, Meremothi,
4 Tels étaient les princes des prêtres, et leurs frères du temps de Josué.
Ido, Ginethoni, Abiya,
5 Tels étaient les princes des prêtres, et leurs frères du temps de Josué.
Miyamini, Moadia, Bilga,
6 Tels étaient les princes des prêtres, et leurs frères du temps de Josué.
Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
7 Tels étaient les princes des prêtres, et leurs frères du temps de Josué.
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
8 Et les lévites étaient Josué, Banuï, Cadmiel, Sarabia, Joad, Matthanias (celui-ci dirigeait les chants, et leurs frères étaient désignés
Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na pia Matania, ambaye pamoja na wenzake, alikuwa kiongozi wa nyimbo za shukrani.
9 Pour les services journaliers.
Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
10 Or, Josué engendra Joacim, et Joacim engendra Eliasib, et Eliasib engendra Joad,
Yeshua alikuwa baba wa Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa baba wa Yoyada,
11 Et Joad engendra Jonathas, et Jonathas engendra Jadu.
Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
12 Et du temps de Joacim, ses frères, les prêtres et les chefs des familles paternelles, étaient, savoir: De la famille de Saraïa, Amarias; de celle de Jérémie, Ananias;
Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;
13 De celle d'Esdras, Mesulam; de celle d'Amarias, Johanan;
wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;
14 De celle d'Amaluch, Jonathas; de celle de Sechénias, Joseph;
wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;
15 De celle d'Aré, Mannas; de celle de Marioth, Elcaï;
wa jamaa ya Harimu, Adna; wa jamaa ya Meremothi, Helkai;
16 De celle d'Adadaï, Zacharie; de celle de Ganathoth, Mesolam;
wa jamaa ya Ido, Zekaria; wa jamaa ya Ginethoni, Meshulamu;
17 De celle d'Abias, Zéchri; de celle de Miamin, Maadaï; de celle de Phéléthi;
wa jamaa ya Abiya, Zikri; wa jamaa ya Miniamini na ya Maazia, Piltai;
18 De la famille de Balgas, Samué; de celle de Semias, Jonathan;
wa jamaa ya Bilgai, Shamua; wa jamaa ya Shemaya, Yehonathani;
19 De celle de Joarib, Matthanaï; de celle d'Edio, Ozi;
wa jamaa ya Yoyaribu, Matenai; wa jamaa ya Yedaya, Uzi;
20 De celle de Salaï, Callaï; de celle d'Amec, Abed;
wa jamaa ya Salu, Kalai; wa jamaa ya Amoki, Eberi;
21 De celle d'Elcias, Asabias; de celle de Jedeïu, Nathanaël;
wa jamaa ya Hilkia, Hashabia; wa jamaa ya Yedaya, Nethaneli.
22 Les lévites du temps d'Eliasib étaient Joad, Joas, Johanan et Idua, inscrits comme chefs de familles, ainsi que les prêtres sous le règne de Darius le Perse.
Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.
23 Les fils de Lévi, chefs de familles paternelles, ont été inscrits dans le livre du récit de ces temps, jusqu'aux jours de Johanan, fils d'Elisué.
Wakuu wa jamaa miongoni mwa wazao wa Lawi hadi wakati wa Yohanani mwana wa Eliashibu waliandikishwa katika kitabu cha kumbukumbu.
24 Et les chefs des lévites étaient Asabia, et Sarabia, et Josué, et les fils de Cadmiel et leurs frères, se tenaient devant eux lorsqu'ils chantaient les louanges du Seigneur, journellement comme l'avait prescrit David, homme de Dieu.
Viongozi wa Walawi walikuwa: Hashabia, Sherebia, Yeshua mwana wa Kadmieli na wenzao, waliosimama mkabala nao kusifu na kushukuru, sehemu moja ikipokezana na nyingine kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu.
25 Je ressemblai aussi les portiers,
Mabawabu waliokuwa wakilinda kwenye malango ya ghala ni: Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu.
26 Du temps de Joacim, fils de Josué, fils de Josédec, et du temps de Néhémias, et alors Esdras était prêtre et scribe.
Walihudumu siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua, mwana wa Yosadaki, na katika siku za mtawala Nehemia, na za Ezra kuhani na mwandishi.
27 Et lorsque l'on fit la dédicace des murs de Jérusalem, on chercha les lévites en leurs résidences pour les amener à Jérusalem, et faire la fête de la dédicace et les réjouissances, avec des actions de grâces et des chants accompagnés de harpes et de cymbales,
Wakati wa kuwekwa wakfu ukuta wa Yerusalemu, Walawi walitafutwa kule walikokuwa wakiishi, nao wakaletwa Yerusalemu kuadhimisha kwa shangwe huko kuweka wakfu kwa nyimbo za shukrani na kwa uimbaji wakitumia matoazi, vinubi na zeze.
28 Et les fils des chantres vinrent de la banlieue de Jérusalem, et de ses villages,
Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka maeneo yaliyozunguka Yerusalemu, kutoka vijiji vya Wanetofathi,
29 Et de ses campagnes, car ils s'étaient bâti des demeures autour de Jérusalem.
kutoka Beth-Gilgali, na kutoka eneo la Geba na Azmawethi, kwa kuwa waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kuzunguka Yerusalemu.
30 Et les prêtres et les lévites, après s'être purifiés, purifièrent le peuple, et les portiers, et les remparts.
Wakati makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta.
31 Et l'on fit monter les princes de Juda sur le rempart avec deux chœurs, pour chanter des actions de grâces à Dieu, et ils tournèrent sur le rempart à droite se dirigeant vers la porte du Fumier.
Niliwaagiza viongozi wa Yuda wapande juu ya ukuta. Pia niliagiza makundi mawili makubwa ya waimbaji waimbe nyimbo za kumshukuru Mungu. Kundi moja lilipanda juu ya ukuta upande wa kuume, kuelekea Lango la Samadi.
32 Et derrière les chantres marchaient Osaïas et la moitié des princes de Juda,
Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda wakawafuata,
33 Et Azarias, Esdras, Mesollam,
pamoja na Azaria, Ezra, Meshulamu,
34 Juda, Benjamin, Samaïas et Jérémie,
Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia,
35 Et des fils des prêtres avec les trompettes: Zacharie, fils de Jonathas, fils de Samaïas, fils de Matthanias, fils de Michée, fils de Zacchur, fils d'Asaph,
pamoja na baadhi ya makuhani wenye tarumbeta, na pia walikuwa na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu,
36 Et ses frères Samaïas, Oziel et Gelod, Jama, Aïas, Nathanaël, Juda et Anani, et ils chantaient les cantiques de David, homme de Dieu; et Esdras, le scribe, les avait devancés
pamoja na wenzake, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda na Hanani, wakiwa na vyombo vya uimbaji, kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu. Mwandishi Ezra aliongoza maandamano.
37 Sur la porte pour chanter devant eux les louanges du Seigneur. Et ils montèrent par les degrés de la ville de David sur le mur, au-dessus du palais de ce roi, et ils allèrent jusqu'à la porte des Eaux à l'Est [d'Elihrem; ]
Kwenye Lango la Chemchemi waliendelea moja kwa moja mpaka kwenye ngazi za Mji wa Daudi, kwenye mwinuko wa ukuta, na kupitia juu ya nyumba ya Daudi mpaka kwenye Lango la Maji upande wa mashariki.
38 Et le second chœur marcha du côté opposé, et je le suivais, moi et la moitié du peuple, sur la muraille, au-dessus de la tour des Fours, jusqu'à la muraille large.
Kundi la pili la waimbaji lilielekea upande wa kushoto. Niliwafuata juu ya ukuta, pamoja na nusu ya watu kupitia Mnara wa Tanuru mpaka kwenye Ukuta Mpana,
39 Au dessus de la tour d'Ephraïm,
juu ya Lango la Efraimu, Lango la Yeshana, Lango la Samaki, Mnara wa Hananeli, na Mnara wa Mia, mpaka kwenye Lango la Kondoo. Walipofika kwenye Lango la Ulinzi wakasimama.
40 Et les deux chœurs s'arrêtèrent dans la maison de Dieu, ainsi que moi et la moitié des magistrats, qui m'accompagnait.
Kisha yale makundi mawili ya waimbaji yaliyoshukuru yakachukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu. Nami pia nikafanya hivyo, pamoja na nusu ya maafisa,
41 Et les sacrificateurs Eliakim, Maaséia, Minjamin, Micaïa, Eljoénaï, Zacharie, Hanania avec des trompettes.
na makuhani wafuatao: Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania wakiwa na tarumbeta zao,
42 et Maaséia et Sémaïa et Eléazar et Uzzi et Johanan et Malkija et Elam et Ezer, et les chantres furent entendus et comptés.
na pia Maaseya, Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu na Ezeri. Makundi haya yaliimba chini ya uongozi wa Yezrahia.
43 Et ce jour-là, on immola de nombreuses victimes et la joie était grande, car Dieu les avait grandement réjouis, et leurs femmes et leurs enfants prenaient part à ces réjouissances, et les cris joyeux de Jérusalem s'entendaient au loin.
Siku hiyo watu walitoa dhabihu nyingi, wakishangilia kwa sababu Mungu aliwapa furaha kuu. Wanawake na watoto walishangilia pia. Sauti ya kushangilia huko Yerusalemu iliweza kusikika mbali sana.
44 Et ce jour-là, on institua des gardiens des trésors, des prémices et des dîmes, et des hommes pour les recueillir dans les villes, et on les choisit parmi les prêtres et les lévites; car Juda se réjouissait d'avoir vu les lévites et les prêtres reprendre leurs fonctions.
Wakati huo watu walichaguliwa kuwa wasimamizi wa vyumba vya ghala kwa ajili ya matoleo, malimbuko na zaka. Kutoka kwenye yale mashamba yaliyozunguka miji walipaswa walete kwenye ghala mafungu kama sheria ilivyoamuru kwa ajili ya makuhani na Walawi, kwa kuwa Yuda alifurahishwa na huduma ya makuhani na Walawi.
45 Et l'on remit en vigueur les règlements de David et de Salomon, son fils, concernant les purifications, ainsi que les chantres et les portiers.
Walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, nao waimbaji na walinzi wa lango wakafanya hivyo pia, kufuatana na amri za Daudi na Solomoni mwanawe.
46 Car, du temps de David, Asaph était à la tête des chantres, et de ceux qui célébraient le Seigneur.
Muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu.
47 Et du temps de Zorobabel et de Néhémias, tout le peuple d'Israël assigna des parts aux chantres et aux portiers; on les leur distribuait chaque jour. On donnait aussi aux lévites ce qui leur était dû de la chair des sacrifices, et les lévites donnaient aux fils d'Aaron la part qui leur en revenait.
Kwa hiyo katika siku za Zerubabeli na za Nehemia, Israeli wote walitoa mafungu kila siku kwa ajili ya waimbaji na mabawabu. Pia walitenga fungu kwa ajili ya Walawi wengine, nao Walawi walitenga fungu kwa ajili ya wazao wa Aroni.

< Néhémie 12 >