< Josué 16 >

1 La limite des fils de Joseph part du Jourdain, en face de Jéricho, du côté de l'orient; et de Jéricho, elle monte dans les montagnes désertes de Béthel- Luza;
Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli.
2 Elle traverse Béthel et côtoie les confins d'Achatarothi.
Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi,
3 Puis, elle se rapproche de la mer à partir des confins d'Aptalim, jusqu'aux confins de Béthoron-la-Basse; c'est là qu'elle aboutit à la mer.
ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.
4 Les fils de Joseph, Ephraïm et Manassé, eurent là leur héritage.
Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.
5 Les limites des fils d'Ephraïm s'étendirent en proportion du nombre de leurs familles. La limite de leur héritage passe, du côté de l'orient, par Ataroth et Eroc, jusqu'à Béthoron-la-Haute et à Gazara.
Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu,
6 Elle aboutit à la mer dans Icasmon, laissant au nord Therma. Du côté de l'orient, elle tourne en Thénasa et en Sellis, et elle passe à l'orient de Janoca,
na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki.
7 De Macho, d'Ataroth et de leurs villages; puis, elle va vers Jéricho et finit au Jourdain,
Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani.
8 De Tapho, elle gagne la mer Salée vers Chelcana, et elle aboutit a cette mer; tel est l'héritage des fils d'Ephraïm par familles.
Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
9 Les villes qui sont attribuées aux fils d'Ephraïm sont toutes enclavées, ainsi que leurs villages, dans l'héritage des fils de Manassé.
Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
10 Les fils d'Ephraïm n'exterminèrent pas le Chananéen qui réside en Gazer; le Chananéen habita cette ville en Ephraïm, jusqu'à ce que vint le Pharaon d'Egypte, qui la prit et l'incendia. Alors, les Egyptiens tuèrent les Chananéens, les Phérézéens et tous les citoyens de Gazer, et le Pharaon la donna en dot à sa fille.
Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.

< Josué 16 >