< Job 9 >
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 En vérité je sais qu'il en est ainsi. Comment un mortel serait-il juste aux yeux du Seigneur?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 Car si des hommes veulent aller avec Dieu en justice, il ne s'y prêtera pas; il ne voudra pas être contredit sur un seul point entre mille.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 Lui seul est sage en ses pensées; il est fort, il est grand; qui donc s'est assez endurci pour lui résister?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 Il lutte contre les montagnes et elles l'ignorent; il les bouleverse dans son courroux.
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Il ébranle dans ses fondements la terre que recouvre le ciel, et les colonnes qui la soutiennent sont chancelantes.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Il parle au soleil, et le soleil ne se lève pas; il appose son scel sur les astres.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 C'est lui seul qui a tendu les cieux et qui marche sur la mer comme sur un sol affermi.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 Il a créé les Pléïades, et l'étoile du soir, et Arcture, et les constellations du Midi.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 Il a fait une multitude innombrable de merveilles glorieuses et incompréhensibles.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 S'il a passé au-dessus de moi, je ne l'ai point vu; s'il a marché à mes côtés, je n'en ai rien su.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 Se détourne-t-il, qui le ramènera? qui osera lui dire: Que faites-vous?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Seul il a dompté toute fureur, il a fait plier les monstres marins sous le ciel.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 S'il m'écoutait, s'il jugeait mes arguments!
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Quand même je serais juste, il ne m'écouterait pas; je n'obtiendrais pas de lui un arrêt.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 Et si je ne l'avais invoqué et qu'il ne m'exauçât point, je ne pourrais croire qu'il eût entendu ma voix.
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Je crains qu'il ne me broie au moyen d'un tourbillon, car il amortit les ravages de mes plaies nombreuses.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 Il ne me laisse point reprendre haleine, après m'avoir rempli d'amertume,
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 Et il prévaut par la force. Qui donc résisterait à la condamnation qu'il aurait prononcée?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Juste, ma bouche se trouvera dire des impiétés; irréprochable, je passerai pour criminel.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Car, si j'ai péché, c'est dans l'ignorance de mon âme, et néanmoins la vie m'est ôtée.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Aussi j'ai dit: La colère détruit le riche et le grand.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 La mort qui les frappe soudain met à nu leur faiblesse; mais les justes sont tournés en dérision,
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 Ils sont livrés aux mains des pervers, et le Seigneur a voilé le front des juges. Et si ce n'est pas lui qui est-ce donc?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Ma vie est plus rapide qu'un courrier; on ne s'est point placé sur son passage et on ne l'a pas vue.
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 Les navires laissent-ils une trace, ou l'aigle qui vole et cherche sa proie?
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Si je me dis: Cesse donc de parler; borne-toi à courber la tête et à gémir;
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Je tremble de tous mes membres, car je sais que vous ne me jugez point innocent.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Ai-je donc commis quelque impiété? Mais pourquoi ne suis-je point mort?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Lors même que je me serais lavé avec de la neige, et que des mains pures m'auraient purifié,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 Vous m'avez assez plongé dans la fange pour que ma robe m'ait souillé.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Car vous n'êtes point comme moi un homme avec qui je puisse contester et comparaître en justice.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 Que n'existe-t-il pour nous un médiateur, qui écoute et qui prononce entre vous et moi?
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Détournez de moi votre verge; que l'effroi qu'elle m'inspire ne me trouble plus.
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Si je cesse de craindre je parlerai, car je ne le peux en l'état où je suis.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.