< Job 38 >

1 Aussitôt qu'Elihou eut fini son discours, le Seigneur dit à Job à travers un nuage et un tourbillon:
Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
2 Quel est celui qui me cache ses desseins? Il renferme des pensées en son cœur; croit-il qu'elles m'échapperont?
“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
3 Ceins-toi les reins comme un homme; je vais te questionner: réponds-moi.
Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
4 Où étais-tu quand j'ai créé la terre? Déclare-le-moi si tu en as connaissance.
“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
5 Qui en a réglé les dimensions; le sais-tu? Qui a promené sur elle le cordeau pour en prendre la mesure?
Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
6 Comment en a-t-on attaché les anneaux? Qui a posé sur elle la pierre angulaire?
Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
7 Lorsque les astres ont paru, tous mes anges à haute voix m'ont applaudi.
wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
8 J'ai renfermé la mer, j'ai placé des portes pour que, dans sa fureur, elle ne pût s'élancer hors des entrailles qui la contiennent.
“Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
9 Pour langes, je lui ai donné les brouillards, et pour vêtement les nuées.
nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
10 J'ai fixé ses limites, je l'ai entourée de battants et de verrous.
nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
11 Je lui ai dit: Tu iras jusque-là, tu n'iras pas plus loin; tes vagues se briseront sur toi-même.
niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
12 Est-ce de ton temps que j'ai disposé la lueur de l'aurore? et que l'étoile du matin a su qu'elle avait pour devoir
“Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
13 De secouer la terre, en la tenant par les deux ailes, et d'en faire tomber les impies?
yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
14 Est-ce toi qui, ayant pris de l'argile, as formé un être vivant et l'as mis sur la terre, doué de parole?
Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
15 As-tu ôté aux méchants la lumière, as-tu broyé les bras des orgueilleux?
Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
16 Es-tu descendu jusqu'au sources de la mer? As-tu marché dans les profondeurs de l'abîme?
“Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
17 Les portes de la mort s'ouvrent-elles sans t'effrayer? Peux-tu soutenir sans épouvante les regards des gardiens de l'enfer? (questioned)
Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
18 La vaste étendue que le ciel recouvre ne t'a-t-elle pas averti? Dis-le- moi, que penses-tu de sa grandeur?
Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
19 Quelle est la contrée où la lumière passe la nuit? Quel est le lieu où résident les ténèbres?
“Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
20 Pourrais-tu m'y conduire, en connais-tu le chemin?
Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
21 Ne sais-je point que si dès lors tu étais né, tes jours ont été bien nombreux?
Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
22 As-tu visité les trésors de la neige? As-tu vu les trésors de la grêle?
“Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
23 Les tiens-tu en réserve pour l'heure où se montreront tes ennemis, pour les jours de la guerre et des combats?
ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
24 D'où viennent les frimas ou le vent du midi qui souffle sous le ciel?
Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
25 Quelle puissance a préparé la chute des pluies violente et la voie des cataclysmes
Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
26 Qui fondent sur des contrées où il n'y a point d'hommes, sur des déserts où les mortels ne possèdent rien;
ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
27 Qui fécondent des champs inhabités et leur font produire une herbe luxuriante?
ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
28 Quel est le père de la pluie? Qui a produit les gouttes de la rosée?
Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
29 De quel sein est sortie la glace, d'où est né le givre du ciel
Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
30 Qui descend comme l'eau coule? Quel est celui qui frappe de terreur les impies?
wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
31 Est-ce toi qui as enchaîné les pléiades et ouvert la clôture qui retenait Orion?
“Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
32 Feras-tu voir Mazuroth en son temps, et conduiras-tu sur sa chevelure l'étoile du soir elle-même?
Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
33 Connais-tu les révolutions du ciel et ce qui arrive en même temps sur la terre?
Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
34 Appelles-tu de la voix le nuage, t'obéit-il, en s'ébranlant verse-t-il des torrents d'eau?
“Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
35 Convoques-tu les éclairs? Viennent-ils en disant: Qu'y a-t-il?
Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
36 Qui donc a enseigné aux femmes l'art de faire des tissus; qui les a douées de l'adresse d'y tracer des ornements divers?
Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
37 Qui sait, en sa sagesse, dompter les nuages, et qui a courbé le ciel vers la terre?
Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
38 Il a été malléable comme de la terre en poudre, et je l'ai consolidé comme un bloc de pierre.
wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
39 Chasseras-tu pour donner aux lions leur nourriture? Rempliras-tu l'âme des serpents?
“Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40 Ils craignent dans leurs repaires, et ils se tiennent en embuscade au fond des forêts.
wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41 Qui a préparé au corbeau sa pâture? car ses petits, en secouant leurs ailes, ont crié au Seigneur pour demander à manger.
Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?

< Job 38 >