< Job 36 >

1 Et Elihou, continuant dit:
Elihu akaendelea kusema:
2 Patiente un moment encore afin que je t'instruise; je sens en moi bien des choses à dire.
“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
3 Je reprendrai de loin ce que je sais, et, d'accord avec mes œuvres,
Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
4 Je te parlerai sincèrement, en homme qui ne conçoit rien d'injuste.
Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
5 Apprends que jamais Dieu, en la force de son cœur, ne repoussera l'innocence.
“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.
6 Jamais il ne vivifiera l'impie; il ne refusera point de juger l'indigent.
Hawaachi waovu waendelee kuishi, bali huwapa walioteswa haki yao.
7 Il ne détournera pas ses regards du juste; il le placera sur le trône avec les rois; il le fera triompher comme eux; ils seront pareillement glorifiés.
Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki; huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme na kuwatukuza milele.
8 Ceux qu'auront pris des entraves ou les liens de la pauvreté,
Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo, wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,
9 Il se contentera de leur faire connaître leurs fautes et leurs œuvres; car ils se raffermiront.
huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
10 Mais il écoutera les justes, parce qu'il est résolu à les corriger de l'iniquité.
Huwafanya wao kusikia maonyo, na huwaagiza kutubu uovu wao.
11 S'ils lui sont dociles et le servent, ils achèveront leurs jours dans l'abondance des biens, et leurs années dans les grandeurs.
Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
12 Il ne protège point les impies, parce qu'ils refusent de le connaître, et qu'ils sont rebelles à ses avertissements.
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
13 Et les hommes au cœur hypocrite réprimeront leur colère, et ils ne crieront point s'il vient à les enchaîner.
“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki; hata anapowafunga, hawamwombi msaada.
14 Ceux-là, que leur âme meure en leur jeunesse, que la vie leur soit ôtée par des anges.
Wanakufa wangali vijana, miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
15 Car ils auront opprimé le pauvre et le faible; que le Seigneur absolve les esprits pacifiques.
Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao.
16 S'il a permis que la bouche de ton ennemi t'ait trompé; les flots de l'abîme sont sous ta table, et elle y tombera chargée de mets.
“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.
17 Il ne fera pas attendre aux justes sa sentence.
Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu; hukumu na haki vimekukamata.
18 Son courroux s'élèvera contre les pervers, à cause des dons honteux qu'ils ont reçus pour salaire de leur iniquité.
Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.
19 Veille à ne point te détourner de la demande du pauvre pressé par le besoin; quant à ceux qui usent de violence,
Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
20 Ne les soustrais pas la nuit au peuple qui marche contre eux.
Usiutamani usiku uje, ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
21 Sois attentif à t'abstenir d'actions vaines; c'est d'elles que provient la pauvreté.
Jihadhari usigeukie uovu, ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.
22 Le Tout-Puissant s'est affermi dans sa force; qui peut prévaloir contre lui?
“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake. Ni nani aliye mwalimu kama yeye?
23 Qui peut le rechercher dans ses œuvres et l'accuser d'injustice?
Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
24 Souviens-toi qu'il n'a rien fait que de grand, et que les hommes l'ont célébré.
Kumbuka kuzitukuza kazi zake, ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
25 Tout homme a vu en lui-même combien les mortels sont vulnérables.
Wanadamu wote wameiona; watu wanaikazia macho kwa mbali.
26 Le Tout-Puissant est multiple, et nous ne le connaîtrons jamais; le nombre de ses années est infini.
Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu, kupita ufahamu wetu! Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
27 Il sait le nombre des gouttes de pluie et il les recueille pour en former de nouveaux nuages.
“Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
28 Les anciens monuments s'écrouleront, et les nuées couvrent d'ombre le mortel ignoré. Dieu a enseigné les heures aux bestiaux; ils savent régler leur sommeil.
mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
29 Toutes ces choses sont adhérentes à ta pensée, comme ton cœur à ta poitrine. Si le Seigneur rassemble en une seule toutes les nuées, c'est comme son tabernacle.
Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
30 S'il s'enveloppe d'une lueur incertaine, la mer se trouble, et ses profondeurs sont cachées.
Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
31 Il juge les peuples selon ce qu'ils valent; les plus puissants lui doivent leur nourriture.
Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi.
32 Il a caché de ses mains la lumière, et, à cause d'elle, il a donné ses préceptes à ceux qui sont survenus.
Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake.
33 Dieu et le bien mal acquis montreront que le Seigneur aime la lumière.
Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.

< Job 36 >