< Job 29 >
1 Et Job, ajoutant à ce qui précède, dit:
Ayubu akaendelea na kusema,
2 Qui me rendra les jours d'autrefois, le temps où Dieu prenait de soin de me garder?
Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
3 Alors sa lampe brillait sur ma tête: alors avec sa lumière je ne craignais pas de marcher dans les ténèbres.
taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
4 Alors je foulais de mes pieds la voie; alors Dieu veillait sur ma maison.
Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
5 Alors je m'asseyais à l'ombre de mes arbres, et mes enfants étaient autour de moi.
wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
6 Alors mes sentiers ruisselaient de beurre et mes collines de lait.
wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
7 Alors j'entrais dès l'aurore en la ville, et un siège m'était réservé sur les places.
Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
8 Les jeunes gens à mon aspect se voilaient; et les anciens restaient debout.
vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
9 Les forts cessaient de parler; ils se mettaient un doigt sur la bouche.
Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
10 Attentifs à mes discours, ils me déclaraient heureux, après quoi leur langue était collée à leur gosier.
Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
11 L'oreille m'avait ouï et l'on me proclamait heureux; l'œil m'avait vu et l'on s'inclinait.
Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
12 Car j'avais délivré le pauvre des mains du riche; j'avais protégé l'orphelin qui manquait d'appui.
kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
13 La bénédiction de l'abandonné s'adressait à moi; la bouche de la veuve aussi me bénissait.
Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
14 Je m'étais revêtu de justice; je m'étais enveloppé d'équité comme d'un manteau double.
Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
15 J'étais l'œil de l'aveugle et le pied du boiteux.
Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
16 J'étais le père des faibles; j'étudiais des causes que je ne connaissais pas.
Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
17 Aussi j'ai brisé les mâchoires de l'injuste; j'ai arraché de ses dents la proie qu'il avait saisie.
Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
18 Et j'ai dit: Mon âge se prolongera comme celui du palmier; ma vie sera de longue durée.
Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
19 La racine se montrera hors de l'eau, et la rosée passera la nuit dans ma moisson.
Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
20 Ma gloire est pour moi chose vaine, et elle marche mon arc à la main.
Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
21 A peine m'avait-on entendu que l'on s'attachait à moi; on gardait le silence en recueillant mes conseils.
Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
22 Nul n'ajoutait à mes discours, et les hommes étaient pleins de joie que je leur avais parlé.
Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
23 Comme la terre altérée reçoit la pluie, de même ils recevaient mes paroles.
Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
24 Lorsque je riais avec eux, ils n'y pouvaient croire, et l'éclat de mon visage n'en était pas amoindri.
Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
25 Je leur avais indiqué la voie, ils m'avaient institué leur chef, et ma demeure semblait celle d'un roi entouré de gardes ou d'un consolateur des affligés.
Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.