< Job 21 >

1 Or Job reprenant dit:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Ecoutez, écoutez mes raisonnements, afin que de telles consolations me soient épargnées.
“Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
3 Dussiez-vous me maudire je parlerai, ensuite vous ne rirez plus de moi.
Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
4 Qu'y a-t-il? Mes reproches s'adressent-il à un homme? Et pourquoi donc contiendrais-je ma colère?
Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
5 Lorsque vous m'aurez examiné à fond vous serez saisis de surprise, et de vous mains vous vous frapperez les joues.
Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
6 Car si je recueille mes souvenirs, je n'ai eu que zèle pur, et les douleurs affligent mes chairs.
Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
7 Pourquoi les impies vivent-ils, et vieillissent-ils au sein de la richesse?
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
8 Leur famille est selon leur âme, ils ont leurs enfants sous les yeux.
Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
9 Leurs maisons prospèrent, on n'y ressent aucune crainte, car le fouet du Seigneur n'est point dirigé contre eux.
Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
10 Pas d'avortement parmi leurs génisses, leurs bêtes pleines portent sans mal; et, à terme, elles mettent bas leurs fruits.
Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
11 Leurs menus troupeaux ne diminuent jamais, et leurs enfants dansent
Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
12 Au son de la harpe et de la cithare, et ils se complaisent au chant des cantiques.
Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
13 Leur vie s'est écoulée au milieu des biens, et ils se sont endormis dans le repos du sépulcre. (Sheol h7585)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
14 Cependant ils ont dit au Seigneur: Détournez-vous de nous; nous n'avons que faire de connaître vos voies.
Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
15 Qu'est-ce donc que le Tout-Puissant pour que nous le servions? Qu'est-il besoin que nous allions au devant de lui?
Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
16 Leurs mains sont pleines de richesses, et le Seigneur ne surveille pas les œuvres des impies.
Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
17 Il est vrai qu'il advient aussi que leur lampe s'éteigne; ils essuient des catastrophes; des douleurs leur sont envoyées par la colère de Dieu.
Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
18 Ils seront alors comme de la paille que le vent emporte, ou comme le tourbillon de poussière qu'une tempête fait voler.
Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
19 Que les richesses du méchant échappent à ses fils; le Seigneur le rétribuera et il saura pourquoi.
Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
20 Que ses yeux voient sa propre immolation; qu'il ne soit pas épargné par le Seigneur.
Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
21 Car la volonté de Dieu est avec lui dans sa maison, et son nombre de mois lui a été compté.
Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
22 Le Seigneur n'et-il pas le seul qui distribue l'intelligence et le savoir? Seul il juge les scélérats.
Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
23 Tel mourra dans la plénitude de son innocence, complètement heureux et bien portant;
Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 Les entrailles pleines de graisse et regorgeant de mœlle.
Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
25 Un autre finit en l'amertume de son âme, sans avoir jamais rien mangé de bon.
Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
26 Ils dorment ensemble sous la terre; la pourriture les enveloppe.
Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
27 Je sais votre hardiesse à m'accuser.
Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
28 Ainsi vous demanderez: Où donc est la maison du chef? qu'est devenue la tente qui abritait des criminels?
Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
29 Interrogez les voyageurs et ne faussez pas leurs témoignages.
Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
30 Ils vous diront que le fardeau du méchant est allégé le jour de sa perte; on l'en déchargera tout à fait le jour de la colère du Seigneur.
kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
31 Qui donc lui montrera en face ses voies et ce qu'il a fait? Qui se chargera de le punir?
Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
32 On le portera au lieu des sépultures, et il a veillé lui-même à la construction de sa tombe.
Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 Sa présence réjouit jusqu'aux cailloux du torrent; chacun se fait un devoir de le suivre, et il est précédé d'une foule innombrable.
Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
34 Comment donc me consolez-vous en vain? Car vous n'avez nullement adouci mes maux.
Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”

< Job 21 >