< Job 12 >
2 Après tout vous êtes des hommes; est-ce qu'avec vous la sagesse périra?
“Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!
3 Et moi, j'ai comme vous un cœur.
Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi; mimi si duni kwenu. Ni nani asiyejua mambo haya yote?
4 Oui, un homme juste et irréprochable a été livré à la raillerie.
“Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu, ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu: mimi ni mtu wa kuchekwa tu, ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
5 Au temps marqué, il devait périr par des mains étrangères; des gens iniques étaient prêts à mettre sa maison au pillage;
Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
6 toutefois que personne ne croie pouvoir faire du mal, puis être rétribué comme l'innocent. Tous ceux qui irritent le Seigneur ne sont pas soudain recherchés.
Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi, wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama: wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
7 Interroge les bêtes des champs et elles te parleront; questionne les oiseaux du ciel et ils t'instruiront.
“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
8 Raconte tout à la terre, sans rien omettre, et elle te répondra; les poissons de la mer te mettront pareillement sur la voie.
au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
9 Qui donc ne reconnaît en tous les êtres que la main du Seigneur les a créés?
Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
10 N'a-t-il pas en sa main la vie de tout ce qui existe et le souffle de tout homme?
Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
11 L'oreille discerne les paroles; le gosier goûte les aliments.
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula?
12 La sagesse est le fruit de bien du temps; la science est le fruit de bien des existences.
Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
13 Toute force, toute sagesse viennent de Dieu; lui seul a l'intelligence et la volonté.
“Hekima na nguvu ni vya Mungu; shauri na ufahamu ni vyake yeye.
14 S'il a démoli, qui rebâtira? S'il a enfermé les hommes qui ouvrira?
Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
15 S'il retient les eaux, la terre se dessèche; s'il les lance toutes à la fois, il la bouleverse et la perd.
Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
16 Toute force, toute puissance viennent de Dieu; lui seul a l'intelligence et le savoir.
Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
17 C'est lui qui conduit en captivité les conseillers des peuples; et il trouble l'esprit des juges de la terre.
Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara, naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
18 Il place les rois sur leurs trônes; il serre la ceinture de leurs reins.
Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
19 Il fait d'un prêtre un captif; il renverse les grands des empires.
Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara, na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
20 Il modifie à propos le langage des fidèles; il connaît la pensée des anciens.
Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika, na kuondoa busara ya wazee.
21 Il répand la honte sur les chefs; il guérit les humbles.
Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.
22 Il dévoile l'abîme des ténèbres; il amène à la lumière l'ombre de la mort.
Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
23 Il égare les nations; il les détruit; il abat les peuples ou il les dirige.
Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
24 Il change le cœur des chefs des peuples; il les fait errer en des chemins qu'ils ne connaissaient pas,
Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
25 Où ils marchent à tâtons dans l'obscurité; où il n'y a pas de lumière; où ils sont incertains comme un homme ivre.
Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga; huwafanya wapepesuke kama walevi.