< Jérémie 32 >

1 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana, katika mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Nebukadneza.
2 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Wakati huo jeshi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka mji wa Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi katika jumba la kifalme la Yuda.
3 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Basi Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga huko akisema, “Kwa nini unatabiri hivyo? Wewe unasema, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Ninakaribia kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteka.
4 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Sedekia mfalme wa Yuda hataweza kuponyoka mikononi mwa Wakaldayo, lakini kwa hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atazungumza naye ana kwa ana na kumwona kwa macho yake mwenyewe.
5 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Atamchukua Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi mpaka nitakapomshughulikia, asema Bwana. Kama utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’”
6 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Yeremia akasema, “Neno la Bwana lilinijia kusema:
7 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako atakuja kwako na kusema, ‘Nunua shamba langu huko Anathothi, kwa sababu wewe kama jamaa ya karibu ni haki na wajibu wako kulinunua.’
8 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
“Kisha, kama Bwana alivyosema, binamu yangu Hanameli alinijia katika ua wa walinzi na kusema: ‘Nunua shamba langu lililoko Anathothi katika nchi ya Benyamini. Kwa kuwa ni haki yako kulikomboa na kulimiliki, jinunulie.’ “Nilijua kwamba hili lilikuwa neno la Bwana.
9 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Hivyo nikalinunua shamba hilo lililoko Anathothi kutoka kwa binamu yangu Hanameli, nami nikampimia shekeli kumi na saba za fedha.
10 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Nikatia sahihi na kuweka muhuri hati ya kumiliki, nikaweka mashahidi, na kupima ile fedha kwenye mizani.
11 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
Nikachukua ile hati ya kununulia, nakala iliyotiwa muhuri yenye makubaliano na masharti, pia pamoja na ile nakala isiyo na muhuri,
12 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
nami nikampa Baruku mwana wa Neria, mwana wa Maaseya, hati hii mbele ya binamu yangu Hanameli, na mbele ya mashahidi waliokuwa wameweka sahihi kwenye hati hii na mbele ya Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika ua wa walinzi.
13 Ainsi prophétisa Jérémie sur toutes les nations.
“Nilimpa Baruku maelezo haya mbele yao:
14 Voici ce que dit le Seigneur Dieu d'Israël: Prends de ma main cette coupe de vin pur, et fais-en boire à toutes les nations chez qui je t'enverrai.
‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Chukua hati hizi, yaani nakala zote zenye muhuri na zisizo na muhuri za hati ya kununulia, na uziweke kwenye gudulia la udongo wa mfinyanzi ili zidumu kwa muda mrefu.
15 Voici ce que dit le Seigneur Dieu d'Israël: Prends de ma main cette coupe de vin pur, et fais-en boire à toutes les nations chez qui je t'enverrai.
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nyumba, mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.’
16 Et elles boiront, et elles vomiront, et elles perdront le sens à la vue du glaive que j'envoie contre elles.
“Baada ya kumkabidhi Baruku mwana wa Neria hii hati ya kununulia, nilimwomba Bwana:
17 Et je pris la coupe de la main du Seigneur, et je fis boire les nations chez qui le Seigneur m'avait envoyé:
“Ee Bwana Mwenyezi, umeumba mbingu na nchi kwa uwezo wako mkuu na kwa mkono ulionyooshwa. Hakuna jambo lililo gumu usiloliweza.
18 Jérusalem et les villages de Juda, les rois de Juda et ses princes, afin de faire de ces contrées un désert, une désolation, un sujet de raillerie;
Wewe huonyesha upendo kwa maelfu, lakini huleta adhabu kwa ajili ya dhambi za baba mapajani mwa watoto wao baada yao. Ee Mungu mkuu na mwenye uweza, ambaye jina lako ni Bwana Mwenye Nguvu Zote,
19 Et le Pharaon, roi d'Égypte, et ses serviteurs, et ses grands et tout son peuple;
makusudi yako ni makuu, na matendo yako ni yenye uwezo. Macho yako yanaona njia zote za wanadamu, nawe humlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake, na kama yanavyostahili matendo yake.
20 Et ses alliés, et tous les rois des Philistins, et Ascalon, et Gaza, et Accaron, et le roi d'Azot;
Ulitenda ishara za miujiza na maajabu huko Misri, na umeyaendeleza mpaka leo, katika Israeli na miongoni mwa wanadamu wote, nawe umejulikana na kufahamika hivyo mpaka leo.
21 Et l'Idumée, et Moab, et les fils d'Ammon;
Uliwatoa watu wako Israeli kutoka Misri kwa ishara na maajabu, kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa na kwa matisho makuu.
22 Et les rois de Tyr, et les rois de Sidon, et les rois de la terre des îles au delà de la mer;
Uliwapa nchi hii uliyokuwa umeapa kuwapa baba zao, nchi inayotiririka maziwa na asali.
23 Et Dédan, et Théman, et Rhos, et tous ceux qui se coupent les cheveux autour du front;
Waliingia na kuimiliki, lakini hawakukutii wala kuifuata sheria yako. Hawakufanya kile ulichowaamuru kufanya. Hivyo ukaleta maafa haya yote juu yao.
24 Et tous les peuples mêlés, qui ont leurs tentes dans le désert;
“Tazama jinsi tumezungukwa na jeshi ili kuuteka mji huu. Kwa sababu ya upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo ambao wanaushambulia. Ulilosema limetokea kama vile unavyoona sasa.
25 Et tous les rois d'Élam, et tous les rois de Perse;
Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee Bwana Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha, na jambo hilo lishuhudiwe.’”
26 Et tous les rois de l'Orient, proches ou lointains, les uns après les autres, et tous les royaumes qui sont sur la surface de la terre.
Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
27 Et tu leur diras: Ainsi parle le Seigneur tout-puissant: Buvez, enivrez-vous, et vous vomirez; vous tomberez, et vous ne vous relèverez pas sous le glaive que j'enverrai sur vous,
“Mimi ndimi Bwana, Mungu wa wote wenye mwili. Je, kuna jambo lolote lililo gumu nisiloliweza?
28 Et voici ce qui arrivera: lorsqu'ils refuseront de prendre de ta main la coupe pour y boire, tu leur diras: Ainsi dit le Seigneur: Buvez, buvez,
Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana: Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa Wakaldayo, na mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ambaye atauteka.
29 Car je commence à sévir contre la ville où mon nom est prononcé, et vous ne serez point purifiés; car j'appelle un glaive sur tous ceux qui habitent la terre.
Wakaldayo ambao wanaushambulia mji huu watakuja na kuuchoma moto na kuuteketeza, pamoja na nyumba ambamo watu wamenikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba katika mapaa na kumimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine.
30 Et tu prophétiseras contre eux en ces termes, et tu diras: Le Seigneur du haut des cieux parlera; de son sanctuaire il fera entendre sa voix; il parlera contre ce lieu, et les hommes lui répondront comme des vendangeurs ivres; et la destruction arrivera sur tous ceux qui habitent la terre,
“Watu wa Israeli na wa Yuda hawakufanya kitu kingine ila uovu mbele zangu tangu ujana wao. Naam, watu wa Israeli hawakufanya kitu kingine ila kunikasirisha kwa kazi ambazo mikono yao imetengeneza, asema Bwana.
31 Et même aux extrémités du monde; car le Seigneur entre en jugement contre toutes les nations; il plaide avec toute chair; et les impies ont été livrés au glaive, dit le Seigneur.
Tangu siku ulipojengwa hadi sasa, mji huu umenikasirisha na kunighadhibisha kiasi kwamba ni lazima niuondoe machoni pangu.
32 Ainsi dit le Seigneur: Voilà que les maux passeront de nation à nation, et un immense tourbillon partira des extrémités de la terre.
Watu wa Israeli na wa Yuda wamenikasirisha kwa uovu wote waliofanya: wao, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao, watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu.
33 Et il y aura des morts tués par le Seigneur, au jour du Seigneur, dans toutes les parties de la terre; on ne les enterrera point, et ils seront comme du fumier sur la surface de la terre.
Walinigeuzia visogo vyao, wala si nyuso zao. Ingawa niliwafundisha tena na tena, hawakupenda kusikiliza wala kuitikia adhabu.
34 Poussez des gémissements, pasteurs, et criez; lamentez-vous, béliers du troupeau; car vos jours finiront par le meurtre, et vous tomberez comme des béliers de choix.
Waliweka miungu yao ya kuchukiza sana katika nyumba iitwayo kwa Jina langu na kuinajisi.
35 Et il n'y aura pas de refuge pour les pasteurs; il n'y aura point de salut pour les béliers du troupeau.
Wakajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu kwa ajili ya Baali katika Bonde la Ben-Hinomu, ambapo walitoa wana wao na binti zao kafara kwa Moleki, ingawa kamwe sikuamuru, wala halikuingia akilini mwangu, kwamba watafanya chukizo kama hilo na kumfanya Yuda atende dhambi.
36 Ou entend la voix et les cris des pasteurs, les gémissements des brebis et des béliers, parce que le Seigneur a détruit leurs pâturages.
“Mnasema kuhusu mji huu, ‘Kwa upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mkononi mwa mfalme wa Babeli,’ lakini hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli asemalo:
37 Et toute demeure autrefois paisible sera détruite en face de ma colère.
Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.
38 Dieu, comme un lion, a abandonné le lieu de sa retraite; et leur terre est devenue déserte en face de son grand glaive.
Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.
Nitafanya nao agano la milele: Kamwe sitaacha kuwatendea mema, nami nitawavuvia kunicha mimi, ili kamwe wasigeukie mbali nami.
Nitafurahia kuwatendea mema, na kwa hakika nitawapanda katika nchi hii kwa moyo wangu wote na roho yangu yote.
“Hili ndilo asemalo Bwana: Kama nilivyoleta maafa haya makubwa kwa watu hawa, ndivyo nitakavyowapa mafanikio niliyowaahidi.
Kwa mara nyingine tena mashamba yatanunuliwa katika nchi hii ambayo mlisema, ‘Imekuwa ukiwa, isiyofaa, isiyo na watu wala wanyama, kwa sababu imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.’
Mashamba yatanunuliwa kwa fedha, na hati zitatiwa sahihi, zitatiwa muhuri na kushuhudiwa katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, katika miji ya Yuda na katika miji ya nchi ya vilima, sehemu za magharibi katika miji ya tambarare na katika Negebu, kwa sababu nitarudisha tena mafanikio yao, asema Bwana.”

< Jérémie 32 >