< Isaïe 65 >

1 Je me suis manifesté à ceux qui ne me demandaient point; j'ai été trouvé par ceux qui ne me cherchaient pas; j'ai dit à un peuple qui n'avait point invoqué mon nom: Me voici.
Nilikuwa tayari kuchaguliwa na wale ambao hawakuniomba; Nilikuwa tayari kupatikana kwa wale ambao hawakunitafuta. Nilisema, ''Niko hapa!' kwa taifa ambalo halikuita jina langu.
2 Durant tout le jour j'ai tendu les mains à un peuple désobéissant et contradicteur, à des hommes qui marchaient non dans la bonne voie, mais à la suite de leurs péchés.
Nimetawanya mikono yangu siku zote kuwasumbua watu wangu, wanao tembea katika njia isiyopasa, wanaotembea kwa kufuata mawazo yao wenyewe na mipango yao.
3 Ce peuple est celui qui ne cesse pas de m'irriter en face; ils sacrifient dans leurs jardins, et ils brûlent de l'encens sur des briques, pour des divinités qui n'existent pas.
Kuna watu wanoendelea kunipinga mimi, wanatoa sadaka zao katika bustani, na kuchoma ubani juu ya matofali.
4 Ils se couchent sur des sépulcres ou des cavernes, à propos de leurs songes; et ils mangent de la chair de porc avec le jus de leurs victimes; et tous leurs vases sont souillés.
Wamekaa miongoni mwa makaburi na kuangalia usiku kucha, na hula nyama ya nguruwe na mchuzi mchafu wa nyama katika vyombo vyao.
5 Ce sont eux qui disent: Loin de moi, ne m'approche pas; car je suis pur. Mon courroux les réduira en fumée, et en eux brûlera un feu éternel.
Wanasema, 'Simama mbali, usisogee karibu na mimi, maana mimi ni mtakatifu zaidi yako.' Vitu hivi ni moshi katika pua zangu, moto uwakao mchana kutwa.
6 Voilà qu'il est écrit devant mes yeux: Je ne garderai point le silence jusqu'à ce que j'aie puni dans leur sein
Tazama, imeandikwa mbele yangu: Sitanyamaza, Maana nitawalipa wao tena; nitafanya malipo yao katika miguu yao,
7 Leurs péchés et ceux de leurs pères, dit le Seigneur. Ceux qui ont sacrifié sur les montagnes, ceux qui m'ont outragé sur les collines, recevront dans leur sein la punition de leurs œuvres.
kwa sababu ya dhambi zao na dhambi za baba zao kwa pamoja.'' asema Yahwe. ''Nitawajibu wao kwa kuchoma ubani juu ya milima na kunifanyia mimi juu ya vilima. Hivyo basi nitapima juu ya matendo yao ya kale katika miguu yao.''
8 Ainsi dit le Seigneur: De même que s'il se trouve un grain mûr dans un verjus, on dit: Ne le gâtez point, parce que la bénédiction est en lui; ainsi ferai-je pour l'amour d'un seul qui me sert; pour l'amour de celui-là je ne les détruirai pas tous.
Yahwe asema hivi, ''Ikiwa kama juisi itapatikana katika nguzo ya zabibu, wakati mmoja ataposema, 'Usihiaribu hiyo, maa kuna uzuri ndani yake; hichi ndicho nitakachokifanya kwa niaba ya watumishi wangu: Sitawaribu wao wote.
9 Et je délivrerai la postérité de Jacob et de Juda; elle aura pour héritage ma montagne sainte; mes élus et mes serviteurs l'auront pour héritage, et ils y demeureront.
Nitazileta koo kutoka kwa Yakobo, na kutoka Yuda wao ambao watairithi milima yangu. Niliowachagua watairithi aridhi, na watumishi wangu wataishi pale.
10 Et il y aura dans la forêt des bergeries pour les menus troupeaux; et dans la vallée d'Achor se reposeront les bœufs de mon peuple, de ceux qui m'auront cherché.
Sharoni itakuwa malisho ya makundi, na bonde la Akori itakuwa sehemu ya kupumzikia ya makundi yangu, kwa watu wangu wanaonitafuta mimi.
11 Et vous qui m'abandonnez et qui oubliez ma montagne sainte, qui dressez une table pour le démon et qui mêlez le vin pour faire des libations à la fortune,
Lakini yeye aliyeachana na Yehwe, anayeusahau mlima wangu mtakatifu, anayeandaa meza kwa bahati ya mungu, na kujaza kikombe cha mvinyo uliochanganywa na miungu inayoitwa Hatama.
12 Je vous livrerai au glaive, vous tomberez sous le couteau; car je vous ai appelés, et vous ne m'avez point obéi; j'ai parlé, et vous n'avez pas entendu, et devant moi vous avez fait le mal, et ce que je rejetais, vous l'avez choisi.
Nitaufikisha mwisho wenu kwa upanga, na wato mtainama chini kwa kuchinjwa, Kwa sababu nilipokuita wewe, haukuitikia; nilipozungumza haukunisikliza. lakini mlifanya yaliyo mabaya katika macho yangu na kuchagua kufanya yasiyo nipendeza mimi.''
13 C'est pourquoi, voici ce que dit le Seigneur: Ceux qui me servent mangeront; et vous, vous aurez faim; ceux qui me servent boiront, et vous, vous aurez soif.
Bwana Yahwe asema hivi, ''Tazama, mtumishi atakula, lakini atashikwa na njaa; tazama mtumishi wangu atakunywa lakini atakuwa na kiu; tazama mtumishi wangu atashangilia, lakini atatiwa katika aibu.
14 Ceux qui me servent vivront dans la joie, et vous, vous serez confondus; ceux qui me servent tressailliront d'allégresse, et vous, vous crierez dans la tristesse de votre cœur, et vous hurlerez dans le déchirement de votre esprit.
Tazama, mtumishi wangu atapiga kelele za furaha kwa sababu ya furaha ya moyo, lakini utalia kwa sababu ya maumivu ya moyo, na mtapiga kelele kwa sababu ya kusagwa kwa roho zenu.
15 Et vous laisserez votre nom comme un objet de dégoût à mes élus, et le Seigneur vous détruira, et un nom nouveau sera donné à ceux qui le servent.
Nanyi mtaliacha jina lenu nyuma kama laana kwa watu niliowachagua wazungumze; Mimi Bwana Yahwe, Nitakuwa wewe; Nitawaita watumishi wangu kwa jina lingine.
16 Et ce nom sera béni sur la terre; car ils béniront le Dieu véritable; et ceux qui jureront sur la terre jureront par le Dieu véritable; ils oublieront leur ancienne affliction, qui ne reviendra plus en leur cœur.
Yeyote atakaye tamka baraka juu ya nchi atabarikiwa na mimi, Mungu wa kweli. Yeyote achukuae kiapo juu ya nchi anaapa na mimi, Mungu wa kweli, kwa sababu matatizo ya nyuma yatasaulika, maana yatafichwa machoni pangu.
17 Car il y aura un ciel nouveau et une terre nouvelle; on ne se souviendra plus des choses d'autrefois, et le souvenir n'en reviendra plus en leur cœur.
Maana tazama, Ninakaribia kuumba mbingu mpya na nchi mpya; na mambo ya kale hayatakumbukwa tena wala kufikiriwa katika akili.
18 Mais ils y trouveront la joie et l'allégresse; car moi-même je ferai de Jérusalem l'allégresse, et de mon peuple la joie.
Lakini mtakuwa na furaha na kushangilia daima kwa nitakachokiumba. Tazama, Ninakaribia kuumba Yerusalemu mpya kama furaha na watu wake wenye furaha.
19 Et à mon tour je ferai de Jérusalem mes délices, et de mon peuple ma joie; et l'on n'y entendra plus la voix des pleurs, ni celle des gémissements.
Nitafurahia juu ya Yerusalemu watu wangu; kuomboleza na kilio cha dhiki akitasikika tena ndani yake.
20 Il n'y aura plus là ni enfant qui meure avant l'âge, ni vieillard qui ne remplisse son temps. Le jeune homme vivra cent ans, et le pécheur à sa mort aura aussi cent ans; mais celui-là sera maudit.
Hakuna tena mtoto atakayeishi pale japo kwa siku chache; wala mzee kufa kabla ya mda wake. Yule atakayekufa katika umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama mtu mdogo. Yeyote ambaye atashindwa kufikia umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama laana.
21 Et ils bâtiront des maisons, et ils y demeureront, et ils y planteront des vignes, et ils en mangeront les fruits.
Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
22 Et ils ne bâtiront plus pour autrui, et ils ne planteront plus pour que d'autres mangent. Les jours de mon peuple seront comme les jours de l'arbre de vie, et les travaux où ils auront pris de la peine atteindront la vieillesse.
Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
23 Mes élus ne se fatigueront pas en vain; ils n'auront point d'enfants pour leur malédiction, car c'est une race bénie de Dieu; et leurs petits enfants comme eux seront bénis.
Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
24 Et avant qu'ils aient crié je les aurai exaucés; pendant qu'ils parleront encore, je dirai: Qu'y a-t-il?
Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
25 Alors les loups et les agneaux viendront paître ensemble; le lion mangera de la paille comme le bœuf, et le serpent mangera la terre comme du pain. Ils ne nuiront à personne; ils ne détruiront rien sur ma montagne sainte, dit le Seigneur.
Hawataumiza tena wala kuharibujuu ya mlima wangu mtakatifu,'' asema Yahwe.

< Isaïe 65 >