< Isaïe 57 >

1 Voyez comme le Juste a péri, et nul ne le porte en son cœur; et des hommes justes sont retirés de la terre, et nul n'y fait attention. Car le Juste a été enlevé du milieu de l'iniquité.
Wenye waki watatoweka, lakini hakuna mtu atakayelitia maanani, na watu wa agano la kuaminika wamekusanyika mbali, lakini hakuna mtu anayefahamu kuwa wenye haki wamekusanyika mbali na maovu,
2 Son sépulcre sera en paix; il a été enlevé de la voie d'iniquité.
Wameingia katika amani; wamepumzika katika vitanda vyao, wale wanotembea katika haki.
3 Et vous, venez ici, fils pervers, race d'adultères et de prostituées.
Lakini njooni hapa, enyi watoto wa wachawi, watoto wa wazinifu na mwanamke anayefanya ukahaba.
4 De qui vous êtes-vous joués? contre qui avez-vous ouvert la bouche? contre qui s'est exercée votre langue? N'êtes-vous pas des enfants de perdition, une race sans loi,
Ni nani mnayemfanyia mzaha? dhidi ya wale wanofungua midomo yao na kutoa nje ndimi zao? Je ninyi sio watoto wa uaasi, watoto wa uongo?
5 Vous qui invoquez des idoles sous des arbres touffus, vous qui sacrifiez vos enfants dans des vallons au milieu des rochers?
Enyi unaowasha wenywe kwa kulala pamoja chini ya mualoni, kila chini ya mti mbichi, ewe unaeua watoto wako katika mabonde yaliyokauka, chini ya miamba inayoning'inia.
6 C'est là ton partage, c'est là ton lot; tu as répandu des libations pour ces idoles, tu leur as offert des victimes: et je n'en serais pas irrité!
Miongoni mwa vitu vilaini katika bonde la mto ni mambo uliyopewa uyafanyie kazi. Ni vitu vya ibada yako. Umemwaga nje kinywaji chako kwao na kutoa sadaka ya mazao. Katika haya mambo Je ninaweza kuwa radhi na mambo haya?
7 Là est ton lit, sur une haute montagne, élevée dans les airs; là tu as transporté tes oblations.
Umeandaa kitanda chako juu ya mlima mrefu; pia umeeda pale juu kutoa sadaka.
8 Et derrière les jambages de ta porte tu as placé ton mémorial; pensais-tu qu'à t'éloigner de moi tu aurais quelque profit? Tu as aimé ceux qui partageaient ta couche;
Nyuma ya mlango na mihimili ya milango umeweka ishara zako; umeniweka mimi furagha, umejifunua wewe mwenywe, na kwenda juu; umekifanya kitanda changu kuwa kikubwa. Umefanya agano na wao; ulipenda vitanda vyao; uliona sehemu zao za siri.
9 Et tu as multiplié tes adultères avec eux, et tu en as gagné beaucoup qui étaient loin de toi, et tu as envoyé des messagers au delà de tes frontières, et tu as été abaissée jusqu'à l'enfer. (Sheol h7585)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
10 Tu t'es fatiguée en maints voyages, et tu n'as pas dit: Je cesserai de me fortifier dans le mal; ainsi as-tu fait; c'est pourquoi tu ne m'as plus prié.
Ulichoka kwa safari yako ndefu, lakini haukusema, ''Haina matumaini.'' Umeyatafuta maisha katika mkono wako; Hivyo basi haukudhoofika.
11 Qui as-tu craint, qui t'a retenue, quand tu m'as menti, quand tu m'as oublié, et que tu ne m'as plus donné place dans ta pensée ni dans ton cœur? Et moi, en te voyant, je te dédaigne à mon tour; et tu n'as pas eu peur de moi.
Ni uliyemuogopa? Ni nani uliye muhofia zaidi ambaye aliyekufanya wewe kutenda udanganyifu, kwa wingi namna hiyo ambapo hauwezi kunikumbuka mimi au kufikiria kuhusu mimi? Maana nilikuwa kimya kwa mda mrefu, hauniogopi mimi tena.
12 Et moi, je publierai ta justice et tes péchés, qui ne te profiteront pas.
Nitatangaza matendo haki yako na nitawaambia kila kitu ulichokifanya, lakini hawatakusaidia.
13 Et si tu jettes des cris, que tes complices te sauvent dans ton affliction; mais le vent les saisira tous, un tourbillon les emportera. Au contraire, ceux qui s'attachent à moi acquerront la terre, et ils auront ma montagne sainte pour héritage.
Utakapolia nje, wacha sanamu ulizozikusnya zikusaidie wewe. Badala yake upepo utavipeperusha vyote, punzi itavipeperusha mbali. Lakini yeye anayenikimbilia mimi atairithi aridhi na atachukua umiliki katika mlima wangu mtakatifu.
14 Et ils diront: Purifiez devant lui les voies; enlevez les pierres d'achoppement de la voie de mon peuple.
Atasema, 'Jenga, jenga! safisha njia! ondoeni vizuizi vyote katika njia ya watu wangu!''
15 Voici ce que dit le Très-Haut, qui réside éternellement au plus haut des cieux, le Saint des saints; son nom est le Très-Haut, reposant parmi les saints; c'est lui qui donne aux faibles la patience, et aux cœurs contrits la vie:
Maana yeye allye juu palipoinuka, anayeishi katika uzima wa milele, ambaye jina lake ni mtakatifu, asema hivi, ''Ninaishi mahali pa juu na mahali patakatifu pamoja na yeye pia aliyemnyenyekevu na moyo uliopondeka, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu na kufufua mioyo ya wanaojutia.
16 Je ne vous punirai pas éternellement; je ne serai pas toujours irrité contre vous; car tout esprit est sorti de moi, et c'est moi qui ai créé toute vie.
Maana sitawahukumu milele, wala sitakuwa na hasira milele, Kisha roho ya mtu itazimia mbele yangu, maisha niliyowafanyia.
17 A cause de son péché, j'ai affligé quelque temps mon peuple; je l'ai frappé et j'ai détourné de lui mon visage; et il en a éprouvé de la douleur, et triste il a marché dans ses voies.
Kwa sababu ya dhambi ya mapato ya vurugu zake, Nilipatwa na hasira, na nikamuadhibu yeye; niliuficha uso wangu, nilikuwa na hasira, lakini alirudi nyuma katika njia za moyo wake mwenyewe.
18 J'ai vu ses voies, et je l'ai guéri, et je l'ai consolé, et je lui ai donné une consolation véritable.
Nimeziona njia zake, lakini nitamoponya yeye. Nitamuongoza yeye na kumfariji na kuwashauri wale wanomliliia yeye,
19 La paix, et encore la paix, à ceux qui sont au loin, et à ceux qui sont près. Et le Seigneur a dit: Je les guérirai.
na natengeneza tunda la midomo. Amani, amani, kwa wale walio mbali sana na wale walio karibu-asema Yahwe nitawaponya ninyi.
20 Quant aux méchants, ils seront agités comme les flots, et ils ne pourront se calmer.
Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, haiwezi kutulia, na maji yake yametanda juu ya matope.
21 Il n'y a point de joie pour les impies, dit le Seigneur.
Hakuna amani kwa wakosaji asema Mungu.''

< Isaïe 57 >