< Isaïe 26 >
1 En ce jour-là, on chantera ce cantique en la terre de Juda: Voilà une ville forte, son mur et son avant-mur seront notre salut.
Siku hiyo wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda: Tuna mji imara; Mungu amefanya wokovu katika kuta na ngome zake.
2 Ouvrez les portes; laissez entrer un peuple qui garde la justice et garde la vérité;
Fungua lango, ili mataifa yenye haki yaweze na yenye kutunza imani yaweze kuingia ndani.
3 Qui reçoive la vérité et maintienne la paix.
Akili mlionayo, mtamuhifadhi yeye katika amani kamili, maana anawamini ninyi.
4 C'est en vous qu'ils ont éternellement espéré, Seigneur, Dieu grand et éternel.
Mwamini Yahwe daima; maana Yaha, Yahwe, ni mwamba wa milele.
5 C'est vous qui avez humilié et fait descendre ceux qui habitaient les hauts lieux. C'est vous qui renverserez les villes fortes, et les égalerez au sol.
Maana atawashusha wale wote wenye kiburi; mji ulio juu atushusha chini, ataushusha chini kwenye aridhi; na ataulinganisha na mavumbi.
6 Et les doux et les humbles les fouleront aux pieds.
Utakanyagwakanyagwa chini na miguu ya walio masikini na wahitaji.
7 La voie des hommes pieux est droite; la voie des hommes pieux leur a été d'avance préparée.
Mapito ya mwenye haki yamenyooka, Wenye haki; mapito ya wenye haki umeyanyoosha.
8 Car la voie du Seigneur est la justice. Nous avons espéré en votre nom dans le souvenir et le désir de notre âme.
Ndio, kaika mapito ya hukumu yako, Yahwe, tunakusubiri wewe; jina lako na sifa zako ni matamanio yetu.
9 Avant l'aurore, mon esprit s'élève vers vous, ô mon Dieu, parce que vos commandements sont la lumière du monde. Apprenez la justice, vous qui habitez la terre.
Nimekutamani wewe wakati wa usiku; ndio, roho iliyo ndani yangu ina kutafuta kwa bidii. Pindi hukumu yako itakapokuja duniani, wenyeji wa duniani watajua kuhusu haki.
10 Car c'en est fait de l'impie. Quiconque sur la terre n'apprend pas la justice ne pratiquera pas la vérité. Que l'impie disparaisse, afin de ne point voir la gloire du Seigneur.
Na tuonyeshe upendeleo kwa waovu, lakini hawatajifunza haki. katika nchi ya wanyofu anatenda maovu na haoni ukuu wa Yahwe.
11 Seigneur, votre bras est levé, et ils ne le savaient pas, et, le sachant, ils seront confondus. La jalousie saisira ce peuple ignorant, et le feu dévorera les ennemis du Seigneur.
Yahwe, mkono wako umenyanyuliwa juu, lakini hawapati hizo taarifa. Lakini wataona bidii kwa watu na wataona aibu, kwa sababu idadi ya maadui watawatafuna.
12 Seigneur, notre Dieu, donnez-nous la paix; car vous nous avez tout donné.
Yahwe, utaleta amani kwetu, maana kweli, umekamilisha kazi zetu zote.
13 Seigneur, notre Dieu, prenez possession de nous; Seigneur, nous ne connaissons pas d'autre Dieu que vous, d'autre nom que votre nom.
Yahwe Mungu wetu, viongozi wengine badala yako wametutawala sisi; Lakini tunalitukuza jina lako.
14 Les morts ne verront point la vie, les médecins ne les ressusciteront pas. C'est pourquoi vous les avez visités, vous les avez punis, vous leur avez enlevé tous leurs enfants mâles.
Wamekufa, hawataishi tena; ni maremu hao, hawatafufuka tena. Kweli, umekuja kuwahukumu na kuwaharibu wao, na umefanya kila kumbukumbu kutoweka.
15 Ajoutez à leurs maux, Seigneur, ajoutez aux maux des superbes de la terre.
Umeliongeza taifa, Yahwe, umeliongeza taifa; umeheshimiwa; umeinuliwa katika mipaka yote ya nchi.
16 Seigneur, dans l'affliction je me suis souvenu de vous; vous nous frappez d'une affliction légère pour nous instruire.
Yahwe, katika mateso yao walikuangalia wewe; walipatwa na wasiwasi katika maombi yao maana adhabu yako ilikuwa juu yao.
17 Et comme une femme en mal d'enfant et près d'être délivrée pousse des cris en sa douleur, ainsi avons-nous fait pour votre bien-aimé.
Kama mwanamke mjamzito anayekaribia kujifungua, hupatwa na uchungu na hulia kwa uchungu, hivyo ndivyo tulivyokuwa kabla, Bwana.
18 Nous avons conçu dans votre crainte, Seigneur, nous avons été dans les douleurs de l'enfantement, et nous avons enfanté votre esprit de salut, et par lui nous avons produit des œuvres sur la terre.
Tulikuwa wajawazito, tumekuwa katika mateso, lakini ni kama tumeshajifungua katika akili zetu. Hatujauleta wokovu duniani, na wakazi wa duniani hawakuanguka.
19 Les morts ressusciteront, et ceux qui sont dans leurs sépulcres se lèveront, et ceux qui sont sur la terre tressailliront de joie; car la rosée qui vient de vous est leur guérison, et la terre des impies périra.
Wafu wenu wataishi; watu wenu walio kufa watafufuka. Amka na uimbe kwa furaha, njie muishio mavumbini; maana umande wenu ni umande wa mwanga, na dunia itawaleta mbele wafu wake.
20 Va, mon peuple, entre dans ton appartement secret, ferme ta porte, cache- toi un peu, bien peu de temps, jusqu'à ce que la colère du Seigneur soit passée.
Enendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu na mfunge mlango nyuma yenu; jificheni kwa mda mfupi, mpaka hasira itakapopita.
21 Car voilà que le Seigneur, de son lieu saint, amène sa colère sur les habitants de la terre, et la terre montrera le sang qu'elle a bu, et elle ne recèlera plus ceux qu'on avait tués.
Maana, angalia, Yahwe anakaribia kutoka katika eneo lake kuwahadhibu watu waishio duniani kwa ajili ya makosa yao; dunia itaachia umwagaji wa damu, na hawatawaficha tena waliokufa.