< Isaïe 25 >
1 Seigneur Dieu, je vous glorifierai, je louerai votre nom, parce que vous avez fait des choses merveilleuses, selon votre conseil antique, fondé sur la vérité. Ainsi soit-il.
Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
2 Vous avez réduit des villes en des monceaux de ruines, des villes fortes, dont les fondations ne devaient point faillir; la ville des impies ne sera point réédifiée dans l'avenir.
Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
3 C'est pourquoi un peuple pauvre vous bénira, et les villes des hommes vous béniront.
Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
4 Car vous êtes le protecteur de toute humble cité, vous êtes l'abri du pauvre en son indigence; vous les sauverez des méchants, vous, abri de ceux qui ont soif, vous, rafraîchissement des opprimés.
Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
5 Nous étions défaillants dans Sion, comme des hommes consumés par la soif, à cause des impies auxquels vous nous avez livrés.
na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
6 Et le Seigneur Dieu des armées préparera un festin pour tous les Gentils; sur cette montagne ils boiront la joie, en buvant le vin.
Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
7 Ils se parfumeront de myrrhe sur cette montagne. Donnez toutes ces choses aux Gentils; car sur les Gentils repose le conseil de Dieu.
Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
8 La mort, ayant prévalu, dévorera les hommes, et de nouveau le Seigneur sèchera les larmes de tous les visages; il effacera sur toute la terre l'opprobre de son peuple; car la bouche du Seigneur a parlé.
Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
9 Et en ce jour on dira: Voici notre Dieu, en qui nous espérons, il nous sauvera. Voici le Seigneur, c'est lui que nous attendions; et nous avons tressailli d'allégresse, et nous nous réjouirons en Celui qui est notre salut.
Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
10 Dieu donnera le repos à cette montagne, et il foulera Moab à ses pieds, comme l'aire sous les chars.
Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
11 Et le Seigneur étendra sur lui ses mains, comme quand il abat un homme pour le perdre; ainsi il abattra sa superbe, en étendant ses mains sur lui.
Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
12 Et il humiliera la hauteur des remparts qui étaient leur refuge; et il les renversera au milieu du sol.
Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.