< Osée 6 >
1 Allons et retournons au Seigneur notre Dieu; car c'est Lui qui nous a pris, et Il nous guérira; Il nous a frappés, et Il pansera nos blessures.
“Njoo, turudi kwa Bwana. Kwa maana ametuvunja vipande vipande, lakini atatuponya; ametujeruhi, lakini atatufunga majeraha yetu.
2 En deux jours, Il nous rendra la santé; le troisième jour, nous nous lèveront et nous vivrons devant Lui,
Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, na tutaishi mbele yake.
3 et nous Le connaîtrons; notre désir sera de connaître le Seigneur; nous Le trouverons prêt dès l'aurore; Il viendra à nous, comme à la terre les pluies du matin et du soir.
Nasi tumjue Bwana; tukaendelee kumjua Bwana. Kuja kwake ni hakika kama asubuhi; atakuja kwetu kama mvua, kama mvua ya vuli ambayo huinyeshea ardhi.”
4 Que te ferai-je, Éphraïm? Que te ferai-Je, Juda? Ta miséricorde est comme le brouillard de matin, comme la rosée du soir.
Efuraimu, nikufanyie nini? Yuda, nikufanyie nini? Uaminifu wako ni kama wingu la asubuhi, kama umande unaoondoka mapema.
5 À cause de cela J'ai moissonné vos prophètes; Je les ai tués d'un mot de Ma bouche, et Mon jugement apparaîtra comme la lumière,
Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa vinywa vya manabii, nimewaua kwa maneno ya kinywa changu. Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza.
6 parce que Je préfère la miséricorde aux sacrifices, et la connaissance de Dieu aux holocaustes.
Kwa maana natamani uaminifu wala si dhabihu, na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.
7 Mais ils sont comme l'homme qui viole l'alliance; c'est là que m'a méprisé
Kama Adamu wamevunja agano; hawakuwa waaminifu kwangu.
8 Galaad, ville qui fabrique des choses vaines, ville qui trouble l'eau,
Gileadi ni jiji la wahalifu wenye miguu ya damu.
9 et sa force est celle d'un pirate. Les prêtres ont caché des embûches sur la voie; ils ont tué Sichem; ils ont commis des crimes
Kama makundi ya wanyang'anyi wanaomngojea mtu, hivyo makuhani hujiunga pamoja kufanya mauaji kwa njia ya Shekemu; wamefanya uhalifu wa aibu.
10 en la maison d'Israël; là J'ai vu des choses horribles: la prostitution d'Éphraïm, la souillure d'Israël et de Juda.
Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo baya; Uzinzi wa Efraimu ukopale, na Israeli ametiwa unajisi.
11 Commence à vendanger pour toi-même, tandis que Je ramènerai Mon peuple de la captivité.
Kwa maana wewe, Yuda, mavuno yameteuliwa, nitakaporudisha urithi wa watu wangu.