< Ézéchiel 47 >

1 Et il me conduisit sous les portiques du temple; et là de l'eau sortait de la cour et coulait à l'orient; car la façade du temple regardait l'orient, et l'eau descendait à droite au midi de l'autel.
Kisha yule mtu akanirudisha nyuma kwenye lango la kuingia la hekalu, na kulikuwa na maji yakitiririka nje kutoka chini ya hekalu kizingiti cha nyumba kuelekea masharikii-kwa mbele ya hekalu kulekea mashariki-na maji yalikuwa yakitiririka chini upande wa kusini mwa hekalu, kuelekea upande wa kuume wa madhabahu.
2 Et il me fit sortir par le chemin de la porte de l'aquilon; et il me fit tourner par le chemin extérieur jusqu'à la porte du parvis qui regarde l'orient, et voilà que l'eau coulait du côté droit,
Hivyo akanileta kwenye lango la kaskazini na kuniongoza kuzunguka lango kuelekea mashariki, na hapo maji yalikuwa yakitiririka kutoka lango hili kwa upande wa kusini yake.
3 Dans la direction qu'avait prise l'homme en sortant, et devant lui; or il tenait à la main son cordeau, et il mesura mille coudées, et il traversa l'eau, cette eau qui jaillissait de la cour.
Yule mtu alipokuwa akienda mashariki, kulikuwa na kamba ya kupimia kwenye mkono wake; akapima dhiraa elfu moja akanivusha kwenye maji hata maji yakafika kwenye magoti.
4 Et il mesura mille coudées, et il traversa l'eau, et il en eut jusqu'aux cuisses. Et il mesura mille coudées, et il traversa l'eau, et il en eut jusqu'aux reins.
Kisha akapima dhiraa elfu moja ten akanivusha kwenye yale maji yaliyofika kwenye magoti; akapima dhiraa elfu kumi nyingine na kunivusha maji yakafika hata kwenye nyonga.
5 Et il mesura mille coudées, et il ne put traverser, parce que l'eau débordait comme un torrent infranchissable.
Tena akapima dhiraa elfu moja nyingine, lakini ulikuwa mto ambao sikuweza kuuvuka kwa sababu maji yalizidi na yalijaa maji ya kuogelea ndani-yalikuwa mto usiovukika
6 Et il me dit: As-tu vu, fils de l'homme? et il me guida, et il me ramena sur la rive du fleuve
Yule mtu akanambia, “Mwanadamu, unaona hii?” akanipeleka na kunirudisha karibu na ukingo wa mto.
7 Par laquelle je pouvais revenir. Et voilà qu'il y avait sur les deux rives du fleuve une grande multitude d'arbres.
Nilipokuwa nikirudi, hapo kwenye ukingo wa mto kulikuwa na miti mingi katika huu upande na upande mwingine pia.
8 Et il me dit: Cette eau sort de la Galilée, qui est vers l'Orient, puis elle descend vers l'Arabie, et va jusqu'à la mer, jusqu'à l'eau qui en sort, et elle assainira toutes les eaux.
Yule mtu akanambia, “Haya maji yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki na chini hata Araba; haya maji hutiririka kwenye Bahari ya Chumvi itaifanya kuwa mpya.
9 Et ceci arrivera: toute âme de créature vivant et se mourant sur tout lieu où ce fleuve passera, vivra; et il y aura là une multitude de poissons, parce que l'eau y sera venue; et où sera passé le fleuve tout être sera sain, et il vivra, et il vivra en ce lieu.
Itakuwa kwamba kila kiumbe hai kisongamanacho kitaishi mahali maji yanapoelekea; kutakuwa na samaki wengi, kwenye hayo maji yatiririkayo huko. Itafanya maji ya chumvi kuwa mapya. Kila kitu kitaishi popote mto utakapoelekea.
10 Et il y viendra des pêcheurs depuis Engaddi jusqu'à Engallim; et le long de ce fleuve ils feront sécher leurs filets; et ses poissons seront, comme ceux de la grande mer, en grande multitude.
Kisha itatokea kwamba wavuvi wa En Gedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na En Eglaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
11 Et à son embouchure et dans ses détours, et dans ses débordements, ses eaux ne seront point assainies; on s'en servira pour en tirer le sel.
Lakini Bahari ya Chumvi ikajaa maji na matope hayataachwa mapya; yataachwa yawe kwa ajili ya kutengeneza chumvi.
12 Et tout arbre fruitier croîtra au bord du fleuve sur ses deux rives; nul n'y dépérira et n'y manquera de fruits; dès sa première pousse, il produira, parce que les eaux qui l'arrosent sortent du lieu saint; et ses fruits seront bons à manger, et ses feuilles rendront la santé.
Karibu na huo mto juu ya ukingo wake, pande zote, aina zote za miti utazaa chakula. Majani yake hayatanyauka na matunda yake hayataacha kukua. Kila mwezi miti itazaa matunda, kwa sababu maji kutoka patakatifu yatatirirka kwenda kwenye hiyo miti. Matunda yake yatakuwa kwa ajili ya chakula, na majani yake yatakuwa kwa ajili ya dawa.
13 Voici ce que dit le Seigneur: Je vais vous indiquer les limites de cette terre que vous vous partagerez au cordeau, entre les douze tribus des fils d'Israël.
Bwana Yahwe asema hivi: Hii itakuwa njia ambayo mtaigawanya nchi kwa ajili ya kabila kumi na mbili za Israeli: Yusufu atakuwa na mafungu mawili.
14 Et dans ce partage chacun aura autant que son frère, de cette terre sur laquelle j'ai levé la main pour la donner à vos pères; et elle sera votre héritage.
Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
15 Et voici les limites de cette terre à l'aquilon: depuis la grande mer, qui s'y enfonce et forme un golfe à l'entrée d'Émaseldam
Huu utakuwa mpaka wa nchi upande wa kaskazini kutoka Bahari Kubwa kwa njia ya Hethloni, na kisha kuelekea Zedada.
16 Maabthéras, Hébraméliam, entre les confins de Damas et ceux d'Emath, le val de Saunan; le tout au-dessus des confins de l'Anranitide.
Kisha mpaka utaenda hata Berotha, hadi Sibraimu, iliyopo kati ya Damaskasi na Hamathi, na kisha hata Hazer-hatikoni, iliyopo karibu na mpaka wa Haurani.
17 Voilà les limites depuis la mer; depuis le val d'Enan, ce sont les confins de Damas et les limites du côté de l'aquilon.
Hivyo mpaka utaenda kutoka kwenye bahari hadi Hazar-enoni kwenye mpaka wa Damaskasi na Hamathi hata kaskazini. Huu utakuwa upande wa kaskazini.
18 Celles du côté du levant passeront entre la Loranitide, Damas, la Galaaditide, et entre la terre d'Israël; le Jourdain les limitera vers la mer qui est au levant de la ville des Palmiers. Voilà les limites à l'orient.
Kwa upande wa mashariki, kati ya Haurani na Damaskasi na kati ya Geliadi na nchi ya Israeli kutakuwa na mto Yordani. Mtapima kutoka kwenye mpaka hata kwenye bahari ya mashariki; huo wote utakuwa mpaka wa mashariki.
19 Celles du midi et du sud-ouest s'étendront de Théman et de la ville des Palmiers, jusqu'aux eaux de Barimoth-Cadès, d'où elles rejoindront la grande mer.
Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
20 Telle est la limite du. sud et du sud-ouest; celle de l'occident est la grande mer elle-même; elle va jusqu'au golfe d'Emath; telle est la limite vers la mer d'Émath.
Kisha mpaka wa magharibi utakuwa Bahari Kuu utaelekea hata nyuma ya Hamathi. Huu utakuwa upande wa mgharibi.
21 Et vous partagerez pour eux cette terre entre les tribus d'Israël.
Kwa njia hii mtaigawanya hii nchi kwa ajili yenu wenyewe, kwa kabila za Israeli.
22 Vous les partagerez au sort, pour vous et pour les étrangers qui résident parmi vous, et qui ont eu des enfants au milieu de vous; et ils seront pour vous comme des indigènes au milieu des fils d'Israël. Ils mangeront avec vous les fruits de votre héritage au milieu des fils d'Israël.
Hivyo mtagawana urithi kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya wageni walio kati yenu, wale watakaozaa watoto kati yenu na waliokuwa, kati yenu, kama wazaliwa wa watu wa Israeli. Mtapewa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
23 Et dans la tribu où se trouveront des prosélytes, vous leur donnerez un héritage, dit le Seigneur Dieu.
Kisha itatokea kwamba wageni watakuwa pamoja na kabila miongoni mwa yule anayeishi. Mtapatia urithi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Ézéchiel 47 >