< Ézéchiel 33 >

1 Et la parole du Seigneur me vint, disant:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Fils de l'homme, parle aux enfants de ton peuple, et dis-leur: En toute terre où je conduirai le glaive, et où le peuple, ayant pris l'un de ses hommes, l'aura mis en sentinelle;
“Mwanadamu, sema hivi kwa watu wako; waambie, 'Nitakapoleta upanga juu ya nchi, kisha watu wa hiyo nchi wakamchukua mtu mmoja kutoka mingoni mwao na kumfanya awe mlinzi wao.
3 Si cet homme, voyant le glaive venir sur cette terre, sonne de la trompette pour donner l'alarme au peuple,
Atazamapo kwa upanga kama unakuja juu ya nchi, na apige tarumbeta kuwaonya watu!
4 Et si celui qui entend le son de la trompette prête l'oreille et ne se met point sur ses gardes, le glaive viendra et le surprendra; et son sang retombera sur sa tête.
Kama watu wakisikia sauti ya tarumbeta lakini bila kusikia, na kama upanga ukija na kuwaua, kisha damu ya kila mmoja iko juu ya kichwa chake mwenyewe.
5 Si donc, après avoir entendu le son de la trompette, il ne s'est pas mis sur ses gardes, son sang retombera sur lui; et tel autre qui se sera mis sur ses gardes aura sauvé son âme.
Kama mtu akisikia sauti ya tarumbeta na hakusikiliza, damu yake iko juu yake; lakini kama akisikia, ataokoa maisha yake mwenyewe.
6 Et si la sentinelle, ayant vu le glaive venir, n'a point sonné de la trompette, si le peuple ne s'est pas mis sur ses gardes, si le glaive, survenant parmi eux, prend une âme, cette âme est prise à cause de son iniquité; mais tout ce sang, je le réclamerai de la main de la sentinelle.
Bali, kama mlinzi akiona upanga unakuja, lakini kama asipopiga tarumbeta, pamoja na matokeo kwamba watu hawajaonywa, na kama upanga ukija na kuchukua uhai wa mtu yeyote, kisha yule mtu akafa kwenye dhambi yake mwenyewe, lakini nitaitaka damu yake kutoka mlinzi.'
7 Et toi, fils de l'homme, je t'ai mis en sentinelle pour la maison de Jacob, et tu écouteras toute parole de ma bouche.
Sasa wewe mwenyewe, mwanadamu! Nimekufanya kuwa mlinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli; utasikia maneno kutoka kinywani mwangu na uwaonye badala yangu.
8 Si je dis au pécheur: Tu mourras de mort; et que tu ne parles pas pour avertir l'impie de se retirer de ses voies, lui-même, l'impie, mourra en son iniquité; mais son sang, je le réclamerai de ta main.
Kama nikimwambia mtu mwovu, 'Mwovu, hakika utakufa!' lakini kama hutangazi hivi ili kwa ajili ya kumuonya mtu mwovu kuhusu hii njia, kisha huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake, lakini nitaitaka damu yake kutoka kwenye mkono wako!
9 Que si tu as averti l'impie de se retirer de sa voie, et qu'il ne s'en retire pas, il mourra en son impiété, mais tu auras sauvé ton âme.
Lakini wewe, kama ukimwonya mwovu kuhusu hii njia, hivyo basi anaweza kurudi kutoka hiyo, na kama kama asipogeuka kutoka njia yake, kisha atakufa katika dhambi yake, lakini wewe mwenyewe utakuwa umeokoa maisha yako.
10 Et toi, fils de l'homme, dis à la maison d'Israël: Voici ce que vous dites: Nos fautes et nos iniquités sont sur nous, nous languissons à cause d'elles; et comment vivrons-nous?
Basi wewe, mwanadamu, sema kwa nyumba ya Israeli, 'Mnasema hivi, Makosa yetu na dhambi zetu zi juu yetu, na tunadhoofika kwa ajili yao! Je! tutaishije?”'
11 Réponds-leur: Par ma vie, dit le Seigneur, je ne désire point la mort des impies; je désire bien plus que l'impie se retire de sa voie, et qu'il vive. Retirez-vous tous de votre voie; car pourquoi péririez-vous, maison d'Israël?
Waambie, 'Kama niishivyo-asema Bwana Yahwe-sifurahii kifo cha mwovu, kwa kuwa kama mwovu akitubu kutoka njia yake, kisha ataishi! Tubu! Tubu kutoka njia zako mbaya! Kwa nini mnataka kufa, nyumba ya Israeli?'
12 Dis aux enfants de mon peuple: La justice du juste ne le sauvera point le jour où il s'égare; l'iniquité de l'impie ne le perdra pas le jour où il sortira de son iniquité; et le juste même ne pourra être sauvé.
Hivyo basi wewe, mwanadamu, waambe watu wako, 'Haki ya mwenye haki haitamwokoa kama akikosa! Uovu wa mtu mwovu hautamfanya kuangamia kama akitubu dhambi zake! Kwa kuwa mtu mwenye haki hataweza kuishi kwa sababu ya haki yake kama akikosa.
13 Lorsque j'aurai dit au juste: Tu vivras; si, se confiant à sa justice, il commet une iniquité, toutes ses actions justes seront mises en oubli; il mourra dans l'iniquité qu'il aura commise.
Kama nikisema kwa mwenye haki, “Hakika ataisha!” na kama akiamini katika haki yake na kisha akafanya udhalimu, sitokumbuka haki yake yoyote. Atakufa kwa ajili ya uovu alioufanya.
14 Lorsque j'aurai dit à l'impie: Tu mourras de mort; s'il se retire de son péché, je le jugerai et le traiterai avec justice et discernement.
Hivyo kama nikisema kwa mwovu, “Utakufa hakika,” lakini kama akitubu kutoka kwenye dhambi zake na kufanya yaliyo halali na haki-
15 S'il rend le gage, s'il restitue ce qu'il a dérobé, s'il marche dans les commandements de vie et ne fait rien d'inique, il vivra et ne mourra point.
kama akirudisha dhamana ambayo aliyomnyang'anya, au kama akirudisha alichokipoteza, na kama akitembea katika amri zitoazo uhai na bila kufanya dhambi-kisha ataishi hakika. Hatakufa.
16 Tous ses péchés seront mis en oubli; et parce qu'il aura pratiqué l'équité et la justice, il vivra dans sa justice et son équité.
Dhambi alizozifanya hazitakumbukwa kwa ajili yake. Ametenda halali na haki, na hivyo, ataishi hakika!
17 Les fils de mon peuple diront encore: La voie du Seigneur n'est pas droite. Mais c'est leur voie qui n'est pas droite!
Lakini watu wako husema, “Njia ya Bwana haiko sawa!” lakini ni njia zako ndizo haziko sawa!
18 Le juste qui se détournera de sa justice et fera des iniquités mourra dans ses iniquités.
Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki na kufanya dhambi, kisha atakufa katika hiyo!
19 Le pécheur qui sortira de son iniquité et agira selon l'équité et la justice, vivra dans la justice et l'équité.
Wakati mtu mbaya ageukapo kutoka kwenye ubaya wake na kufanya iliyo halali na haki, ataishi kwa sababu ya hayo mambo!
20 Et voici ce que vous dites: La voie du Seigneur n'est pas droite! Je vous jugerai tous, chacun selon sa voie, maison d'Israël.
Lakini ninyi watu husema, “Njia ya Bwana haiko sawa!” Nitawahukumu kila mmoja wenu kulingana na njia yake, nyumba ya Israeli!”'
21 Et en la douzième année de notre captivité, le douzième mois, le cinquième jour du mois, un homme qui s'était sauvé de Jérusalem vint me trouver, disant: La ville est prise!
Ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya tano ya mwezi wa kumi ya uhamisho wetu, mtu mmoja akatoroka kutoka Yerusalemuna kusema, “Mji umetekwa!”
22 Et avant qu'il vînt, le soir, la main du Seigneur avait été sur moi; et le Seigneur m'ouvrit la bouche, quand le matin cet homme vint chez moi. Et ma bouche ouverte ne put se contenir.
Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu jioni kabla yule mtoro hajaja, na mdomo wangu ulikuwa wazi mda huo alikuja kwangu wakati wa mapambazuko. Hivyo mdomo wangu ulikuwa wazi; sikuwa bubu tena!
23 Et la parole du Seigneur me vint, disant:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
24 Fils de l'homme, ceux qui habitent les villes dévastées de la terre d'Israël disent: Abraham était seul, et il a possédé cette terre; nous, nous sommes nombreux; c'est donc à nous que cette terre a été donnée pour héritage.
“Mwanadamu, wale waishio mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli huongea na kusema, 'Ibrahimu alikuwa mtu pekee, na alirithi nchi, lakini sisi tukowengi! Tumepewa nchi kama wamiliki.”
25 À cause de cela, réponds-leur: Voici ce que dit le Seigneur Maître:
Kwa hiyo waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Mnakula damu, na mmeziinulia macho yenu sanamu, kisha mnazimwagia damu za watu. Je! mna uhakika wa kuimiliki hii nchi?
26 Par ma vie, ceux qui sont en ces villes désolées périront par le glaive; et ceux qui demeurent aux champs seront donnés en pâture aux bêtes sauvages; et je ferai mourir de mort ceux qui sont dans des forteresses et dans des cavernes.
Mnategemea upanga wenu na mmetenda mambo maovu; kila mtu amemnajisi mke wa jirani yake. Je! kweli mtaimiliki nchi?'
27 Par ma vie, ceux qui sont en ces villes désolées périront par le glaive; et ceux qui demeurent aux champs seront donnés en pâture aux bêtes sauvages; et je ferai mourir de mort ceux qui sont dans des forteresses et dans des cavernes.
Utawaambia hivi, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kama niishivyo, hakika wale walio katika uharibifu wataanguka kwa upanga, na nitawapatia wale walio katika mashamba viumbe hai kama chakula, na wale walio katika ngome na mapango watakufa kwa tauni.
28 Et je ferai de la terre un désert; et la superbe de leur force périra; et les montagnes d'Israël seront une solitude, car nul n'y passera plus.
Kisha nitairudisha nchi kwenye ukiwa na tishio, na kiburi cha uwezo wake kitakoma, kwa kuwa milima ya Israeli itakuwa jangwa, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayewapitia.'
29 Et ils sauront que je suis le Seigneur; et je ferai de leur héritage un désert, et il sera dévasté à cause de toutes les abominations qu'ils y ont commises.
Hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapoifanya nchi ukiwa na tishio kwa sababu ya machukizo yote waliyoyafanya.
30 Et toi, fils de l'homme, les enfants de ton peuple parlent de toi dans leurs demeures, et devant les portes de leurs maisons, et ils se disent l'un à l'autre: Allons ensemble, et écoutons quelles paroles nous viennent aujourd'hui du Seigneur!
Hivyo basi wewe, mwanadamu-watu wako wanasema mambo yako karibu na kuta na malango ya nyumba, na kila mmoja anaambizana na mwenzake-kila mtu na ndugu yake, 'Twende na tukasikilize neno la nabii lililotoka kwa Yahwe!
31 Ils s'approchent de toi comme un peuple qui s'assemble, et ils s'assoient devant toi, et ils écoutent tes paroles, mais ils ne les pratiquent point; car le mensonge est dans leur bouche, et leur cœur marche à la suite de leur impureté.
Hivyo watu wangu watakuja kwako, kama wafanyavyo mara nyingi, na nitaketi mbele yako na kusikiliza maneno yako, lakini mioyo yao inafuata udhalimu kwa faida yao.
32 Et tu es pour eux comme le son d'une harpe douce et harmonieuse; et ils écoutent tes paroles, mais ils ne les pratiquent point.
Kwa kuwa umekuwa kama wimbo mzuri kwao, sauti nzuri awezaye kucheza kinanda vizuri, hivyo watasikia maneno yako, lakini hakuna atakaye yatii.
33 Et quand le jour sera venu ils diront: Voilà que les choses sont accomplies; et ils sauront alors qu'au milieu d'eux il y avait un prophète.
Hivyo wakati haya yote yatakapotokea-tazama! itatokea! -watajua yakwamba nabii alikuwa miongoni mwao.”

< Ézéchiel 33 >