< Ézéchiel 28 >

1 Et la parole du Seigneur me vint, disant:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Et toi, fils de l'homme, dis au roi de Tyr: Voici ce que dit le Seigneur: En punition de ce que ton cœur s'est enorgueilli, et de ce que tu as dit: Je suis Dieu, j'habite au cœur de la mer une demeure de Dieu; tu verras que tu es un homme et non un Dieu; et tu as élevé ton cœur, comme s'il eût été le cœur de Dieu.
“Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
3 Es-tu plus sage que Daniel? Les sages ne t'ont-ils pas instruit de leur science?
unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
4 Est-ce par ton propre savoir et ton intelligence que tu t'es rendu puissant, et que tu as entassé l'or et l'argent dans tes trésors?
Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
5 Tu as accru ta puissance par ta science et par ton commerce, et ton cœur s'est enorgueilli de ta puissance.
Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
6 C'est pourquoi ainsi parle le Seigneur: Puisque tu as élevé ton cœur comme s'il eût été le cœur de Dieu;
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
7 À cause de cela, voilà que j'amène contre toi des fléaux étrangers, venus des nations; et elles arriveront l'épée nue pour frapper toi, ta beauté, ta science, et elles jetteront à terre ta beauté, qu'elles détruiront.
kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
8 Et elles te renverseront, et tu mourras de mort avec ceux qui périront au cœur de la mer.
Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
9 Diras-tu: Je suis Dieu, devant ceux qui te tueront? Tu es un homme, et non un Dieu.
Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
10 Tu périras par les mains des étrangers, au milieu de la multitude des incirconcis; car moi j'ai parlé, dit le Seigneur.
Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
11 Et la parole du Seigneur me vint, disant:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 Fils de l'homme, fais une lamentation sur le roi de Tyr, et dis-lui: Ainsi parle le Seigneur Maître: Toi, le sceau de la ressemblance de Dieu; toi, couronné de beauté,
“Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
13 Tu as été dans les délices du paradis de Dieu; tu t'es paré de toute pierre précieuse, de la sardoine, de la topaze, de l'émeraude, de l'escarboucle, du saphir, du jaspe, de l'argent, de l'or, de l'ambre, de l'agate, de l'améthyste, de la chrysolithe, du béryl, de l'onyx; tu as rempli d'or tes trésors et tes celliers.
Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
14 Le jour où tu as été créé, tu as été avec le chérubin; je t'ai mis en la montagne sainte de Dieu, au milieu de pierres de feu lançant des flammes.
Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
15 Tu as été irréprochable en ta vie, du jour où tu as été créé jusqu'au jour où des iniquités ont été trouvées en toi.
Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 En multipliant ton commerce, tu as rempli d'iniquités tes trésors, et tu as péché, et tu as été blessé et exclu de la montagne de Dieu; et le chérubin t'a banni du milieu des pierres de feu lançant des flammes.
Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
17 Ton cœur s'est enorgueilli de ta beauté; ta science a péri avec ta beauté. À cause de la multitude de tes péchés, je t'ai jeté à terre, je t'ai rendu infâme en présence de tous les rois.
Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
18 À cause de la multitude de tes péchés et de l'iniquité de tes trafics, j'ai souillé tes choses saintes; et je ferai sortir du milieu de toi un feu qui te dévorera; et je te réduirai en cendres sur la terre aux yeux de tous ceux qui te verront.
Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
19 Et tous ceux qui te connaissent parmi les nations gémiront sur toi. Tu es anéanti, et tu ne seras plus dans les siècles.
Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
20 Et la parole du Seigneur me vint, disant:
Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
21 Fils de l'homme, tourne ton visage contre Sidon, et prophétise contre elle.
“Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
22 Et je dis: Ainsi parle le Seigneur: Voilà que je sois contre toi, Sidon, et je serai glorifié en toi, et tu connaîtras que je suis le Seigneur, lorsque j'aurai exercé mes jugements sur toi, et que je serai sanctifié en toi.
Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
23 Le sang et la mort seront sur tes places, et autour de toi tomberont ceux que chez toi le glaive aura blessés; et ils sauront que je suis le Seigneur.
Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
24 Et il n'y aura plus dans la maison d'Israël d'aiguillon d'amertume ni d'épine de douleur venant de ceux qui l'entourent; et ils sauront que je suis le Seigneur.
Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
25 Voici ce que dit le Seigneur Maître: Alors je rassemblerai Israël d'entre les nations où il a été dispersé; et je serai sanctifié en lui, devant les peuples et les nations; et ils demeureront en leur terre, que j'ai donnée à mon serviteur Jacob.
Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
26 Et ils l'habiteront pleins d'espérance; et ils bâtirent des maisons, et ils planteront des vignes, et ils habiteront leur terre, pleins d'espérance, lorsque j'aurai exercé mes jugements sur tous ceux qui les entourent et qui les ont méprisés; et ils sauront que je suis le Seigneur leur Dieu, et le Dieu de leurs pères.
Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'

< Ézéchiel 28 >