< Ézéchiel 27 >
1 Et la parole du Seigneur me vint, disant:
Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Et toi, fils de l'homme, chante sur Tyr une lamentation.
“Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
3 Et dis à cette Tyr, qui réside à l'entrée de la mer, dis à ce marché des peuples venant d'une multitude d'îles: Ainsi parle le Seigneur à Tyr: Tu as dit: C'est de moi-même que je tiens ma beauté.
na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
4 Au cœur de la mer, tes fils t'ont revêtue de beauté pour te consacrer à Baal.
Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
5 Le cèdre de Sénir a servi à construire tes vaisseaux; tes planches ont été prises en des poutres de cyprès du Liban, et pour faire tes mâts on a employé des sapins.
Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
6 On a fait tes rames de bois de Basan; on a fait en ivoire tes choses saintes, et tes chambres ombragées d'arbres en bois des Iles de Cétim.
Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
7 Le fin lin d'Égypte avec des broderies a formé ta couche; il en a été l'ornement; tu as été vêtue d'hyacinthe et de la pourpre des îles d'Élisa; c'était là ton manteau.
Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
8 Et tes princes, ceux qui habitent Sidon, et ceux d'Arad, te servaient de rameurs; et tes sages, ô Tyr, ceux qui résidaient en toi, étaient là tes pilotes.
Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
9 Les anciens de Biblos et leurs sages, ceux qui étaient en toi, ceux-là fortifiaient ton conseil. Et tous les navires de la mer, et tous leurs rameurs trafiquaient pour toi, jusqu'aux confins de l'Occident.
Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
10 Les Perses, les Lydiens, les Libyens étaient dans ton armée; tes hommes de guerre avaient suspendu chez toi leurs boucliers et leurs casques, pour servir à ta gloire.
Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
11 Les fils d'Arad et ton armée étaient sur tes remparts; ils faisaient bonne garde sur tes tours; ils avaient suspendu leurs carquois autour de tes édifices; c'était l'achèvement de ta beauté.
Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
12 Les Carthaginois, par leur trafic, t'apportaient une grande part de tes richesses; ils remplissaient ton marché d'argent, d'or, de fer, d'étain et de plomb.
Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
13 La Grèce tout entière et ses colons entraient chez toi avec des âmes d'hommes, et ils apportaient sur ton marché des vases d'airain.
Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
14 Ils t'amenaient des chevaux de Thogarma et des cavaliers.
Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
15 Les fils des Rhodiens trafiquaient avec toi; ils multipliaient sur ton marché ce qui provenait des îles; ils t'apportaient des dents d'éléphants; et à ceux qui entraient chez toi, tu donnais des marchandises en échange:
Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
16 Des esclaves pris dans la multitude de ceux que tu avais à vendre, de l'huile de myrrhe et des broderies de Tharsis; Rhamoth et Chorchor approvisionnaient aussi ton marché.
Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
17 Juda et les fils d'Israël trafiquaient avec toi; ils te vendaient du blé, des parfums et de la cannelle; ils t'apportaient le meilleur miel, de l'huile et de la résine pour tes marchands.
Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
18 Damas trafiquait avec toi; ils t'achetaient une part de la multitude de tes marchandises, du vin de Chelbon, des laines de Milet.
Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
19 Et ils apportaient du vin sur ton marché. D'Asel venaient chez tes marchands du fer travaillé et des roues.
Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
20 Dédan trafiquait avec toi; elle t'amenait des bêtes de somme, choisies pour les chars.
Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
21 L'Arabie et tous les princes de Cédar trafiquaient avec toi; ils venaient chez toi avec des chameaux, des agneaux et des béliers.
Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
22 Les marchands de Saba et de Rhamma trafiquaient avec toi; ils apportaient à ton marché les épices les plus recherchées, des pierres précieuses et de l'or.
Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
23 Charrha et Chanaa trafiquaient avec toi; Assur et Charman trafiquaient avec toi.
Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
24 Ils t'apportaient de l'hyacinthe et des ballots de marchandises précieuses, attachés avec des cordes, et des bois de cyprès
Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
25 Pour en faire des navires. Ceux qui trafiquaient avec toi se mêlaient à la multitude de tes marchands, et tu étais remplie et pesamment chargée au cœur de la mer.
Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
26 Tes rameurs t'ont conduite dans les grandes eaux; et le souffle du midi t'a brisée au cœur de la mer.
Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
27 Tes richesses, tes trésors, ceux de tes marchands; tes rameurs, tes pilotes, tes conseillers; ces hommes qui trafiquent avec toi, ces guerriers qui sont chez toi, toute la multitude rassemblée en toi, tomberont au cœur de la mer le jour de ta ruine.
Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
28 Au cri de ta voix, tes pilotes seront frappés d'épouvante.
Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
29 Tous tes rameurs, tous tes matelots descendront des navires; tous les pilotes de la mer resteront sur le rivage.
Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
30 Et ils te plaindront à haute voix, et ils crieront amèrement, et ils mettront de la poussière sur leurs têtes, et ils se couvriront de cendre.
Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
31 Et leurs fils feront sur toi une lamentation, une complainte sur Tyr, disant:
Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
32 Et leurs fils feront sur toi une lamentation, une complainte sur Tyr, disant:
Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
33 Quel profit as-tu retiré de la mer? Tu avais rempli de ton abondance toutes les nations; tu avais enrichi par ton trafic tous les rois de la terre.
Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
34 Maintenant tu es brisée dans la mer; tes trafiquants sont au fond de l'abîme, avec toute la multitude assemblée en toi.
Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
35 Tous tes rameurs sont tombés; tous les habitants des îles se sont affligés sur toi; leurs rois ont été saisis de stupeur, et leur visage s'est couvert de larme.
Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
36 Les marchands des nations t'ont sifflée; tu es perdue, et tu ne seras plus dans les siècles.
Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”