< Ecclésiaste 8 >

1 Qui connaît les raisons véritables? Qui sait la solution des choses? La sagesse de l'homme se reflète sur son visage; le front de l'impudent inspire la haine.
Ni mtu gani mwenye hekima? Ambaye anafahamu matukio yana maana gani katika maisha? Hekima ndani ya mtu husababisha uso wake kung'ara, na ugumu wa uso wake hubadilika.
2 Observe le commandement du roi, et cela, à cause de la parole que Dieu a jurée.
Ninakushauri kuitii amri ya mfalme kwa sababu ya kiapo cha Mungu cha kumlinda yeye.
3 Ne te hâte pas de t'éloigner de Sa face; ne tiens pas à la parole si elle est coupable: car il fera tout ce Qu'il voudra;
Usiharakishe kuondoka mbele ya uwepo wake, na usisimame kuunga mkono jambo lisilofaa, kwa kuwa mfalme anafanya chochote anacho tamani.
4 comme fait un roi puissant; et qui pourra lui dire: Qu'as-tu fait?
Neno la mfalme hutawala, kwa hiyo ni nani atakaye mwambia, 'Unafanya nini?
5 Celui qui observe les commandements ne connaîtra pas le mal, le cœur du sage sait le temps du jugement de Dieu.
Yeyote ashikaye amri za mfalme hukwepa madhara. Moyo wa mwenye hekima hutambua mwelekeo muafaka na muda wa kuenda.
6 Car pour toutes choses il y a temps et jugement, et l'homme en sait beaucoup sur lui-même.
Kwa kuwa kila jambo lina jibu sahihi, na wakati wa kujibu, kwa sababu taabu ya mtu ni kubwa.
7 Mais nul ne sait ce qui doit arriver: que sera-ce? Qui le lui fera connaître?
Hakuna anaye fahamu kinacho fuata. Ni nani awezaye kumwambia nini kinacho kuja?
8 Il n'est point d'homme qui ait pouvoir sur la vie, qui puisse la retenir; il n'a pas plus de pouvoir sur le jour de la mort; et il n'est point pour lui de trêve au jour de la bataille, et l'impiété ne sauvera pas ceux qui l'aiment.
Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; wala hakuna kuruhusiwa katika vita vile; wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea.
9 Et j'ai vu toutes ces choses, et j'ai appliqué mon cœur à toute œuvre qui se fait sous le soleil; et j'ai vu les choses où l'homme a pris pouvoir sur l'homme, pour l'affliger.
Mambo hayo yote nimeyaona, nikatia moyo wangu katika kila kazi iliyofanyika chini ya jua. Kuna wakati ambapo mtu mmoja anayo mamlaka juu ya mwenziwe kwa hasira yake.
10 Et j'ai vu des impies conduits à la sépulture, au sortir du lieu saint, et ils étaient allés dans leur voie, et ils avaient été loués dans la ville, parce qu'ils avaient ainsi fait; et cela encore est vanité.
Hivyo niliwaona wabaya wakizikwa hadharani. Waliondolewa mahali patakatifu na kuzikwa mahali waliposifiwa na watu katika mji walipokuwa wamefanya matendo maovu. Hii nayo haifai.
11 Car, parce que ceux qui font le mal ne sont point repris incontinent, le cœur des fils des hommes s'enhardit par leur exemple à mal faire.
Wakati hukumu dhidi ya tendo ovu haihukumiwi haraka, hushawishi mioyo ya wanadamu kutenda ubaya.
12 Celui qui une fois a péché, a fait le mal depuis lors, et longtemps. Et moi je sais que Dieu est bon pour ceux qui craignent en Sa présence.
Hata kama mwenye dhambi afanye uovu mara mia moja na bado aishi kwa muda mrefu, bado ninafahamu itakuwa vyema kwa wale wanao muheshimu Mungu, wanaouheshimu uwepo wake walio nao.
13 Mais le bonheur ne sera pas pour l'impie, et il n'aura pas de longs jours; ils passeront comme l'ombre, parce qu'il ne craint pas la face de Dieu.
Lakini haitakuwa vyema kwa mtu mwovu; mkewe hatacheleweshwa. Siku zake kama kizuri kitowekacho upesi, kwa sababu hamuheshimu Mungu.
14 Voici encore une vanité qui existe sur la terre: il est des justes à qui il arrive comme à l'œuvre des impies; il est des impies à qui il arrive comme à l'œuvre des justes. Et cela, ai-je dit, est encore vanité.
Kuna mvuke mwingine usio faa, jambo jingine linaofanyika juu ya dunia. Mambo hutokea kwa watu wenye haki kama yatokeavyo kwa watu waovu, na mambo hutokea kwa wenye haki kama yatokeavyo kwa waovu. Ninasema hili pia ni mvuke usiofaa.
15 Et c'est pourquoi (dit l'impie) j'ai loué toutes les joies; car il n'est rien de meilleur pour l'homme sous le soleil, sinon de manger, de boire et de se réjouir. Et cela seul lui restera de tout le labeur qu'il fait durant les jours de la vie que Dieu lui a données sous le soleil.
Kwa hiyo nikapendekeza furaha, kwa sababu mtu hana jambo bora chini ya jua zaidi ya kula na kunywa na kuwa na furaha. furaha ndiyo itamfuata katika kazi zake kwa siku zote za maisha yake ambayo Mungu amempa chini ya jua.
16 Dans ces pensées, j'ai appliqué mon cœur à connaître la sagesse, et à voir l'inquiétude qui naît sur la terre; car la nuit comme le jour, il n'est personne qui de ses yeux voie le sommeil.
Nikauweka moyo wangu kufamu hekima na kufahamu kazi inayofanyika juu ya nchi, kazi ambayo inafanyika mara nyingi pasipo kufumba macho usiku au mchana.
17 Et j'ai vu toutes les œuvres de Dieu, et j'ai vu que l'homme ne pourra jamais s'expliquer l'œuvre qui se fait sous le soleil. Quelque fatigue qu'il se donne pour chercher, il ne la trouvera pas et, quelque science même que le sage croie avoir, il ne pourra la trouver.
Kisha nika tafakari matendo yote ya Mungu, na kwamba mtu hawezi kuelewa kazi inayofanyika chini ya jua. Bila kujali mtu anafanya kupata majibu, hatayapata. Ingawa mwenye hekima anaweza kuamini anajua, kitu kweli hajui.

< Ecclésiaste 8 >