< Ecclésiaste 10 >
1 Des mouches mortes gâtent une fiole d'huile parfumée; mieux vaut un peu de sagesse qu'une grande gloire avec de la folie.
Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.
2 Le cœur du sage est dans sa main droite; le cœur de l'impie est dans sa main gauche.
Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3 Même quand l'insensé chemine dans sa voie, le cœur lui manque, et tout ce qu'il pense n'est que folie.
Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.
4 Si le courroux de celui qui a le pouvoir s'élève contre toi, ne quitte point ta demeure; car le silence sera le meilleur remède à tes offenses.
Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.
5 Il est encore un mal que j'ai vu sous le soleil, sortant comme involontairement de la face de celui qui a le pouvoir.
Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:
6 L'insensé a été promu aux grandeurs, et les riches seront assis au dernier rang.
Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu, wakati matajiri hushika nafasi za chini.
7 J'ai vu des serviteurs à cheval, et des princes marcher à pied comme des esclaves.
Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.
8 celui qui creuse une fosse y tombera, et celui qui détruit une haie, le serpent le mordra.
Yeye achimbaye shimo aweza kutumbukia ndani yake, yeyote abomoaye ukuta anaweza kuumwa na nyoka.
9 Celui qui ramasse des pierres s'y blessera lui-même, et celui qui fend du bois se met en péril.
Yeyote apasuaye mawe inawezekana yakamuumiza, yeyote apasuaye magogo inawezekana yakamuumiza.
10 Si son fer lui échappe, il en a le visage troublé; cependant il rassemble ses forces, mais alors sa sagesse ne profite pas à cet homme.
Kama shoka ni butu na halikunolewa, nguvu nyingi zinahitajika, lakini ustadi utaleta mafanikio.
11 Un charmeur ne tire pas grand profit de son art, si un serpent le mord sans siffler.
Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi, mwaguzi hatahitajika tena.
12 La grâce découle de la bouche du sage, et les lèvres de l'insensé le font trébucher.
Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
13 Il commence par les folies de sa langue; il finit par les méchancetés de ses lèvres.
Mwanzoni maneno yake ni upumbavu, mwishoni ni wazimu mbaya,
14 Car l'insensé multiplie les paroles. L'homme ne sait ni le passé ni l'avenir; et ce qui viendra après lui, qui le lui prédira?
naye mpumbavu huzidisha maneno. Hakuna yeyote ajuaye linalokuja, ni nani awezaye kueleza ni jambo gani litakalotokea baada yake?
15 Le travail des insensés leur sera funeste, comme celui de l'homme qui ne sait pas le chemin pour aller à la ville.
Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe, hajui njia iendayo mjini.
16 Malheur à toi, ville dont le roi est jeune, et où les princes sont à table dès le matin!
Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.
17 Heureuse es-tu, terre dont le roi sera fils d'hommes généreux, et où les princes mangeront au temps opportun, pour soutenir leurs forces, et n'auront pas à rougir de leurs excès.
Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa: ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.
18 Le plancher du paresseux s'affaissera, et, à cause de l'inertie de ses mains, dans sa maison tombera la pluie goutte à goutte.
Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama, kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.
19 On leur prépare du pain pour les réjouir, du vin et de l'huile pour égayer leur vie; et ainsi tout obéit à leur argent, mais pour leur honte.
Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote.
20 Toutefois, même dans le secret de la conscience, ne maudis point le roi; dans ta chambre à coucher, ne maudis point le riche, car quelque oiseau du ciel rapporterait tes paroles, quelque insecte ailé publierait tes discours.
Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako, au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala, kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako, naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.