< Amos 1 >

1 Paroles d'Amos qui lui vinrent en la bergerie de Thécué et dont il eut la vision concernant Jérusalem, durant les jours d'Ozias, roi de Juda, et durant les jours de Jéroboam, fils de Joas, roi d'Israël, deux ans avant le tremblement de terre.
Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.
2 Et il dit: Le Seigneur a parlé du haut de Sion, Il a fait entendre Sa voix de Jérusalem, et les pâturages des bergers ont été désolés, et la cime du Carmel a été desséchée.
Alisema: “Bwana ananguruma toka Sayuni, pia ananguruma kutoka Yerusalemu; malisho ya wachunga wanyama yanakauka, kilele cha Karmeli kinanyauka.”
3 Et le Seigneur a dit: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés de Damas que Je la prendrai en aversion; c'est parce qu'avec des scies de fer ils ont scié les femmes enceintes en Galaad.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Dameski, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo vya chuma vyenye meno.
4 Et Je lancerai la flamme sur la maison d'Azaël, et elle dévorera les fondations des fils d'Ader.
Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.
5 Et Je briserai les verrous de Damas, et J'exterminerai ceux qui habitent la plaine d'On, et Je taillerai en pièces la tribu des hommes d'Haran, et l'élite du peuple de Syrie sera emmenée en captivité, dit le Seigneur.
Nitalivunja lango la Dameski; nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni, na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni. Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,” asema Bwana.
6 Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés de Gaza que Je les prendrai en aversion, c'est parce qu'ils ont fait prisonniers les captifs pour les enclore en Idumée.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima na kuwauza kwa Edomu,
7 Et Je lancerai la flamme sur les murs de Gaza, et elle dévorera les fondations.
nitatuma moto juu ya kuta za Gaza ambao utateketeza ngome zake.
8 Et J'exterminerai les habitants d'Azot; et la tribu d'Ascalon sera détruite, et J'étendrai la main sur Accaron, et le reste des Philistins périra, dit le Seigneur.
Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,” asema Bwana Mwenyezi.
9 Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés de Tyr que Je les prendrai en aversion, c'est parce qu'ils ont enclos en Idumée les captifs de Salomon, et qu'ils ne se sont point souvenus de l'alliance de leurs frères.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu, na kutokujali mapatano ya undugu,
10 Et Je lancerai la flamme sur les remparts de Tyr, et elle en dévorera les fondations.
Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”
11 Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés de l'Idumée que Je les prendrai en aversion, c'est parce qu'ils ont poursuivi leurs frères à coups de glaive, et profané leur mère sur la terre, et pris en témoignage son effroi, et qu'ils ont gardé leur emportement dans la victoire.
Hili ndilo Bwana asemalo: “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga, alikataa kuonyesha huruma yoyote, kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.
12 Et Je lancerai la flamme sur Thaman; et elle dévorera les fondations de leurs remparts.
Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”
13 Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés d'Ammon que Je le prendrai en aversion, c'est parce qu'ils ont déchiré les femmes enceintes des Galaadites, pour étendre les limites de leur territoire.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Amoni, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi ili kuongeza mipaka yake.
14 Et J'allumerai la flamme sur les murs de Rabbath, et elle en dévorera les fondations, au milieu des cris, en un jour de combat; et au jour de sa destruction cette ville tremblera.
Nitatuma moto kwenye kuta za Raba ambao utateketeza ngome zake katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano, katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.
15 Et ses rois seront emmenés en captivité, et avec eux ses prêtres et ses princes, dit le Seigneur.
Mfalme wake atakwenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema Bwana.

< Amos 1 >