< Amos 4 >

1 Écoutez cette parole, génisses de la Basanite, qui êtes en la montagne de Samarie, vous qui opprimez les pauvres, qui foulez aux pieds les indigents, et qui dites à vos maîtres: Donnez-nous afin que nous buvions.
Lisikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa Bashani, ninyi mliomo katika mlima wa Samaria, ninyi mnaowakandamiza maskini, ninyi mnaowaponda wahitaji, ninyi muwaambiao waume zenu, “Tuleteeni vinywaji.”
2 Le Seigneur jure par Ses saints que les temps arrivent contre vous, où l'on vous enlèvera avec des armes, et où les hommes de pestilence, enflammés de colère, jetteront ceux qui seront avec vous en des chaudières bouillantes.
Bwana Yahwe ameapa kwa utukufu wake, “Tazama, siku zitakuja kwenu wakati watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki.
3 Et vous, vous serez entraînées nues, les unes devant les autres, et vous serez précipitées en la montagne de Rhomman, dit le Seigneur.
Mtatoka kupitia mahali palipo bomolewa kwenye kuta za mji, kila mmoja wenu kwenda moja kwa moja kupitia hapo, na mtajitupa mbele ya Harmoni -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
4 Vous êtes entrés à Béthel, et vous avez péché, et vous avez multiplié vos impiétés en Galgala; dès le matin, vous avez offert vos oblations, et donné vos dîmes durant les trois jours.
“Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi, leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila baada ya siku tatu.
5 Et ils ont lu la loi au dehors; et ils ont fait des invocations à haute voix. publiez que les fils d'Israël ont aimé ces choses, dit le Seigneur.
Toeni dhabihu za shukurani pamoja na mkate; tangazeni sadaka za hiari; watangazieni, kwa kuwa hii ndiyo iwapendezayo, ninyi watu wa Israeli -hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
6 Et Moi, en toutes vos villes, Je vous ferai grincer des dents; il y aura disette de pain en toutes vos maisons, et vous ne vous êtes point convertis à Moi, dit le Seigneur.
Nawapatia usafi wa meno katika miji yenu na na kupungukiwa na mkate katika sehemu zenu zote. Bado hamkurudi kwangu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
7 Et Moi, Je vous ai refusé la pluie, trois mois avant la vendange; Je ferai pleuvoir sur telle ville; sur telle autre, Je ne ferai point pleuvoir; sur tel terrain, il pleuvra; et tel autre, où il n'aura pas plu, sera desséché.
Pia nimeizuia mvua kutoka kwenu wakati bado kulikuwa na miezi mitatu kwa mavuno. Nikaifanya inyeshe juu ya mji, na kuifanya isinyeshe katika mji mwingine. Kipande kimoja cha nchi ilinyesha, lakini kipande kingine cha nchi ambapo haikunyesha palikuwa pakavu.
8 Et les habitants de deux ou trois villes se rassembleront en une seule ville, pour boire de l'eau, et ils ne seront point désaltérés; et vous ne vous êtes point convertis à Moi, dit le Seigneur.
Walizunguka miji miwili au mitatu kwenda mji mwingine kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hawakunirudia mimi -asema Yahwe.
9 Je vous ai frappés de la fièvre et de la jaunisse. Vous avez multipliés vos jardins et vos vignes; mais les chenilles ont dévoré vos plants de figuiers et d'oliviers; et vous ne vous êtes point convertis à Moi, dit le Seigneur.
Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu. Wingi wa bustani, mashamba yenu ya zabibu, mitini yenu, na mizaituni-kuteketeza yote. Bado hamkunirudia hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
10 Je vous ai envoyé la mort par les chemins de l'Égypte; J'ai fait tomber vos jeunes gens sous le glaive, et vos chevaux ont été pris; dans Ma colère, J'ai livré vos camps à la flamme; et, même après cela, vous ne vous êtes point convertis à Moi, dit le Seigneur.
Nimetuma tauni kwenu kama ya Misri. Nimewaua watoto wenu kwa upanga, kubeba farasi zenu, na kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu. Bado hamkunirudia mimi -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.
11 Je vous ai renversés, comme Dieu renversa Sodome et Gomorrhe, et vous êtes devenus semblables au tison que l'on retire du foyer; et, même après cela, vous ne vous êtes point convertis à Moi, dit le Seigneur.
Nimeiangamiza miji miongoni mwenu, kama wakati Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijinga kilichonyakuliwa kutoka kwenye moto. Bado hamkunirudia - asema Yahwe.
12 Et c'est pourquoi J'agirai ainsi envers toi, ô Israël; et parce que J'agirai ainsi, prépare-toi à invoquer ton Dieu, ô Israël.
Kwa hiyo nitafanya jambo baya kwako, Israeli; na kwa sababu nitafanya jambo baya kwako, jiandae kukutana na Mungu, Israeli!
13 Car Me voici, Moi qui affermis le tonnerre, qui fais naître les vents, qui annonce aux hommes Mon Christ, qui fais l'aurore et la brume, qui monte sur les hauts lieux de la terre. Le Seigneur tout-puissant, voilà Mon Nom.
Kwa kuwa, tazama, yeye atangenezaye milima pia ndiye aumbaye upepo, humfunulia mawazo yake mwanadamu, hufanya asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahala pa juu ya dunia. Yahwe, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.”

< Amos 4 >