< 2 Samuel 2 >

1 Après cela, David consulta le Seigneur, disant: Irai-je en l'une des villes de Juda? Et le Seigneur lui répondit: Va. Et David demanda: Où irai- je? A Hébron, reprit le Seigneur.
Ikawa baada ya haya Daudi akamuuliza Yahwe, “Je naweza kuupandia mmojawapo wa miji ya Yuda?” Yahweh akamjibu, “Panda.” Daudi akauliza, “Niuendee mji upi? Yahwe akajibu, “Hebroni”
2 Et David partit pour Hébron, avec ses deux femmes Achinoam la Jezraélite et Abigaïl, femme de Nabal du Carmel,
Hivyo Daudi akakwea pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
3 Et avec ses hommes, chacun emmenant sa famille; ainsi, ils habitèrent les villes d'Hébron.
Daudi akawaleta watu waliokuwa pamoja naye, na kila mmoja akaleta familia yake katika mji wa Hebroni walipoanza kuishi.
4 Alors, des hommes de la Judée vinrent, et ils sacrèrent David pour qu'il régnât sur la tribu de Juda; ces hommes lui apprirent que ceux de Jabès-Galaad avaient inhumé Saül.
Kisha watu wa Yuda wakaja na kumtia Daudi mafuta kuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi, “Watu wa Yabeshi Gileadi wamemzika Sauli.”
5 Et David envoya des messagers aux chefs de Jabès-Galaad, et il leur dit: Bénis soyez-vous par le Seigneur, parce que vous avez été miséricordieux envers votre maître, envers Saül l'oint du Seigneur, et que vous l'avez inhumé, lui et son fils Jonathan.
Hivyo Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi Gileadi akawambia, “Mbarikiwe na Yahwe, kwa kuwa mmeonesha utiifu huu kwa bwana wenu Sauli mliyemzika.
6 Que le Seigneur vous traite selon sa miséricorde et sa vérité; pour moi, j'en userai bien avec vous, parce que vous avez bien agi.
Sasa Yahwe awadhihirishie utiifu na uaminifu wa kiagano. Nami pia nitawaonesha wema kwa sababu ya yale mliyoyafanya.
7 Et maintenant que vos mains soient fortes; soyez vaillants vous-mêmes; car votre maître Saül n'est plus, et la maison de Juda m'a sacré, afin que je règne sur elle.
Sasa basi, mikono yenu itiwe nguvu; mwe jasiri kwa maana Sauli bwana wenu amekufa, na nyumba yote ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalime wao.
8 Mais, Abner, fils de Ner, général de Saül, prit Isboseth, fils de Saül, et il l'emmena du camp de Manaam,
Lakini Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi la Sauli, akamchukuwa Ishboshethi mwana wa Sauli akamleta Mahanaimu.
9 Et il le fit reconnaître roi par la contrée de Galaad, par Thasiri, par Jezraël, par Ephrahn, par Benjamin, par tout Israël.
Akamfanya Ishboshethi mfalme juu ya Gileadi, Asheri, Yezreeli, Efraimu, Benjamini na juu ya Israeli yote.
10 Isboseth, fils de Saül, avait quarante ans lorsqu'il devint roi d'Israël; il régna deux ans, hormis sur la maison de Juda, qui obéissait à David.
Ishiboshethi mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili. Lakini nyumba ya Yuda ikaambatana na Daudi.
11 Et David régna à Hébron sur la maison de Juda, sept ans et demi.
Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ni miaka saba na miezi sita.
12 Cependant, Abner, fils de Ner, et les serviteurs d'Isboseth, fils de Saül, s'en allèrent de Manaam en Gabaon.
Abneri mwana wa Neri na watumishi wa Ishboshethi mwana wa Sauli walitoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.
13 De son côté, Joab, fils de Sarvia, avec la troupe de David, sortit d'Hébron, et il arriva en même temps qu'eux vers la fontaine de Gabaon; ils campèrent les uns en deçà, les autres au delà de la fontaine.
Yoabu mwana wa Seruya na watumishi wa Daudi wakatoka na kukutana nao katika bwawa la Gibeoni. Wakakaa pale, kundi moja upande huu wa bwawa na kundi lingine upande wa pili.
14 Et Abner dit à Joab: Que ces jeunes gens se lèvent et qu'ils viennent jouer devant nous; à quoi Joab répondit: Qu'ils se lèvent.
Abneri akamwambia Yoabu, “haya, vijana na wainuke na kushindana mbele yetu.” Yoabu akajibu, “haya na wainuke.”
15 Et douze des serviteurs d'Isboseth, fils de Saül, tous de la tribu de Benjamin, se portèrent à la rencontre de douze serviteurs de David.
Ndipo vijana walipoinuka na kukutana, kumi na wawili kwa ajili ya Banjamini na Ishboshethi mwana wa Sauli, na kumi na wawili kutoka kwa watumishi wa Daudi.
16 Et chacun saisit d'une main la tête de celui qui lui faisait face, puis, de l'autre main, il lui enfonça dans le flanc son épée, et ils tombèrent tous en même temps. Et l'on appela ce lieu qui est en Gabaon, le Champ des Traîtres.
Kila mtu akakamata kichwa cha adui yake na kupiga upanga wake katika ubavu wa adui yake, wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa kwa Kiebrania, “Helkath Hazzurim,” yaani “konde la upanga,” lililopo Gibeoni.
17 Ce jour-là, il y eut une terrible bataille; Abner et les hommes d'Israël échouèrent devant les serviteurs de David.
Vita ikawa kali sana siku ile na Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watumishi wa Daudi.
18 Il se trouvait là trois fils de Sarvia, Joab, Abessa et Asaël; or, Asaël avait les pieds légers comme un daim libre dans les champs.
Wana watatu wa Seruya walikuwepo pale: Yoabu, Abishai na Asaheli.
19 Et Asaël se lança à la poursuite d'Abner; il s'attacha à ses pas, sans s'écarter à droite ni à gauche.
Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama paa. Akamfuatilia Abneri kwa karibu bila kugeuka upande wowote.
20 Abner regardant derrière lui, s'écria: N'es-tu pas Asaël? l'autre reprit: Je le suis.
Abneri akaangalia nyuma yake na kusema, “Ni wewe Asaheli?” Akajibu, “ni mimi.”
21 Abner lui dit: Détourne-toi à droite ou à gauche, attaque l'un des jeunes serviteurs, et prends pour toi ses armes. Mais Asaël refusa de s'écarter ni à droite ni à guiche.
Abneri akamwambia, “Geuka upande wako wa kuria au kushoto umshike mmojawapo wa vijana na kuchukua silaha yake.” Lakini Asaheli hakugeuka.
22 Abner continua de lui parler, disant: Éloigne-toi donc de moi, de peur que d'un coup je ne t'étende à terre; comment alors oserais-je lever les yeux devant Joab?
Ndipo Abneri alipomwambia tena Asaheli, “Simama usinifuate. Kwa nini nikupige hata chini? Nitautazamaje uso wa Yoabu ndugu yako?”
23 Où en veux-tu venir? Retourne vers Joab, ton frère. Mais il ne voulut pas s'éloigner, et Abner le frappa du bas de sa javeline au ventre, la pointe ressortit par les reins. Asaël tomba, et il mourut en s'affaissant sur lui-même; tous ceux qui arrivèrent au lieu où il était mort s'arrêtèrent autour de lui.
Lakini Asaheli hakukubari kugeuka. na hivyo Abneri akamchoma kwa nchi ya mkuki wake, hata ukatokea upande wa pili. Asaheli akaanguka chini akafa. Hata ikawa kila mmoja aliyefika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa, alisimama hapo hapo.
24 Et Joab et Abessa s'élancèrent à la poursuite d'Abner; le soleil se couchait alors; et ils allèrent jusqu'à la colline d'Amma, qui est en face d'Haï, où monte le chemin du désert de Gabaon.
Lakini Yoabu na Abishai wakamfuatilia Abneri. Wakati jua linazama walikuwa wamefika mlima wa Amma, uliopo karibu na Gia katika njia ielekeayo nyika ya Gibeoni.
25 Mais les fils de Benjamin, s'étant ralliés auprès de la troupe d'Abner, ne formaient plus qu'un seul corps; ils se rangèrent sur la crête d'une colline.
Wabenjamini wakajikusanya nyuma ya Abneri na kusimama juu ya kilima.
26 Et Abner appela Joab, et il lui dit: Est-ce que l'épée dévorera sans relâche? Ne sais-tu pas qu'elle peut devenir amère à la fin? Qu'attends-tu donc pour ordonner aux tiens de ne plus poursuivre nos frères?
Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema, “Je ni lazima upanga uendelee kurarua daima? Je haujui kwamba mwisho wake utakuwa mchungu? Hata line ndipo uwaambie watu wako waache kuwafuatia ndugu zao?”
27 Et Joab répondit: Vive le Seigneur! si tu n'avais parlé, aucun des nôtres qui, depuis le matin, poursuivent leurs frères, ne se fût arrêté.
Yoabu akajibu, “Kama Mungu aishivyo, usingesema hivyo, askari wangu wangewafuatia ndugu zao hata asubuhi!”
28 Et Joab sonna de la trompette, et toute l'armée s'arrêta; elle ne poursuivit plus Israël, et le combat finit.
Ndipo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wote wakasimama na hawakuendelea kuwafuata Israeli tena wala hawakupigana tena.
29 Partis le soir même, Abner et ses hommes marchèrent toute la nuit; ils traversèrent le Jourdain, le côtoyèrent et rentrèrent dans leur camp.
Abneri na watu wake wakasafiri usiku wote kupitia Araba. Wakavuka Yordani, wakatembea asubuhi yote iliyofuata, na hata wakafika Mahanaimu.
30 Joab revint sur ses pas, laissant partir Abner; il rassembla tout le peuple, et il vit que des serviteurs de David, il manquait dix-neuf hommes outre Asaël.
Yoabu akarudi kutoka katika kumfuatia Abneri. Akawakusanya watu wake wote, ambopo Asahali na askari wengine kumi na tisa wa Daudi walipungua.
31 Et les serviteurs de David avaient tué trois cent soixante des fils de Benjamin, qui accompagnaient Abner.
Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri.
32 Et ils emportèrent le corps d'Asaël pour l'ensevelir à Bethléem, dans le sépulcre de son père; Joab et ses hommes marchèrent aussi toute la nuit; le jour paraissait quand ils arrivèrent à Hébron.
Kisha wakamchukua Asahali na kumzika katika kaburi la baba yake, lililokuwapo Bethlehemu. Yoabu na watu wake wakasafiri usiku wote, kukacha wakati wanafika Hebroni.

< 2 Samuel 2 >