< 2 Chroniques 5 >

1 Enfin, tous les travaux qu'avait commandés Salomon pour le temple du Seigneur, furent achevés. Et Salomon transporta dans le trésor du temple les choses saintes de David son père, et l'argent et l'or, et les vaisseaux.
Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
2 Alors, Salomon assembla dans Jérusalem tous les anciens du peuple, tous les princes des tribus, les princes des familles paternelles d'Israël, pour transférer de Sion (la même que la ville de David) l'arche de l'alliance du Seigneur.
Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
3 Et tout Israël fut assemblé devant le roi Salomon, pendant la fête, le septième mois.
Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
4 Tous les anciens d'Israël y étaient venus; les lévites prirent l'arche,
Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
5 Le tabernacle du témoignage, et toutes les choses saintes que contenait le tabernacle; puis, les prêtres et les lévites le transportèrent.
Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
6 Or, le roi Salomon, toute la synagogue d'Israël, les hommes craignant Dieu, tous ceux d'entre eux qui étaient là rassemblés devant l'arche, sacrifiaient des bœufs et des brebis en quantité innombrable.
Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
7 Et les prêtres introduisirent l'arche de l'alliance du Seigneur au lieu qui lui était destiné dans l'oracle du temple, dans le Saint des saints, sous les ailes des chérubins.
Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
8 Et les chérubins avaient les ailes déployées au-dessus du lieu où on mit l'arche, et les chérubins couvraient l'arche et les leviers.
Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
9 Mais les leviers faisaient saillie; et, de l'intérieur du Saint des saints, on en voyait la tête en s'adossant à la façade de l'oracle; du dehors on ne les voyait pas: et ils sont restés là jusqu'à nos jours.
Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
10 Il n'y avait rien dans l'arche, sinon les deux tables que Moïse y avait déposées en Horeb; témoignage de l'alliance du Seigneur avec les fils d'Israël, quand il les eut fait sortir de l'Égypte.
Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
11 Et, au moment où les prêtres sortirent du sanctuaire (car tous avaient été consacrés, et ils n'étaient point divisés encore par ordre journalier de service),
Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
12 Et, avec eux, les lévites, chanteurs de psaumes, tous subordonnés à Asaph, à Hêman, à Idithun, à leurs fils et à leurs frères, revêtus de robes de lin, portant des cymbales, des lyres, des harpes, se tenant en face de l'autel, et, avec eux, cent vingt prêtres sonnant de la trompette,
Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
13 Les trompettes, les harpes et les chants se réunirent en une seule harmonie pour louer d'une seule voix et célébrer le Seigneur. Et les voix s'élevaient accompagnées des trompettes, des cymbales et des instruments des chanteurs, et elles disaient: Rendez hommage à Dieu, parce qu'il est bon, et que sa miséricorde est éternelle. Alors, le temple fut rempli d'une nuée de gloire du Seigneur.
Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
14 Et les prêtres ne purent y demeurer ni faire le service divin, à cause de la nuée; car la gloire du Seigneur avait rempli le temple de Dieu.
Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.

< 2 Chroniques 5 >