< 2 Chroniques 19 >

1 Et Josaphat, roi de Juda, revint en son palais à Jérusalem.
Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.
2 Et le prophète Jéhu, fils d'Anani, sortit à sa rencontre, et il lui dit Roi Josaphat, n'as-tu pas porté secours à un impie, et donné ton amitié à un ennemi du Seigneur? A cause de cela, la colère du Seigneur a été excitée contre toi.
Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia Bwana? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya Bwana iko juu yako.
3 Cependant, il s'est trouvé du bon en toi; car tu as détruit les bois sacrés en la terre de Juda, et, d'un cœur droit, tu as cherché Dieu.
Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”
4 Et Josaphat résida en Jérusalem; il en sortit encore une fois pour visiter le peuple depuis Bersabée jusqu'aux montagnes d'Ephraïm, et il les ramena au Seigneur Dieu de leurs pères.
Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia Bwana, Mungu wa baba zao.
5 Et il institua des juges dans toutes les places fortes de Juda: un par ville.
Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.
6 Et il dit aux juges: Soyez attentifs à ce que vous faites; car vous ne jugez pas pour l'homme, mais pour le Seigneur, et les paroles du jugement sont avec vous.
Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Bwana ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.
7 Que la crainte du Seigneur soit donc en vous; veillez et agissez; car, avec le Seigneur notre Dieu, il n'est point d'iniquité; il n'y a point à considérer la personne, ni à recevoir des présents.
Basi sasa hofu ya Bwana na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa Bwana Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”
8 Et Josaphat institua en Jérusalem des prêtres, des lévites et des chefs de familles d'Israël, pour juger les choses du Seigneur et les habitants de la ville.
Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya Bwana na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.
9 Et il leur donna ses ordres, disant: Vous ferez votre devoir avec la crainte de Dieu, en la plénitude et en la sincérité de votre cœur.
Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha Bwana.
10 Quels que soient ceux de vos frères qui, de leurs villes, viendront à vous en justice, soit pour une décision entre le sang et le sang, soit pour une application des commandements et des préceptes, déterminez bien pour eux le droit et la sentence; et ils ne pècheront pas envers le Seigneur, et il n'y aura point de colère, ni contre vos frères, ni contre vous. Faites ainsi, et vous ne pècherez pas.
Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya Bwana, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.
11 Et Ananias le prêtre sera votre chef en ce qui concernera le Seigneur; Zabdias, fils d'Ismaël, prince de la maison de Juda, sera votre chef en ce qui concernera le roi, et vous aurez avec vous des scribes et des lévites; fortifiez-vous, et faites, et le Seigneur sera avec les bons.
“Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu Bwana naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye Bwana atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”

< 2 Chroniques 19 >