< 1 Samuel 23 >

1 Et des gens vinrent dire à David: Voilà que les Philistins assiègent Ceïla; ils ravagent tout, et ils foulent aux pieds les aires.
Wakamwambia Daudi, “Tazama, Wafilisti wanaupiga Keila na wanapora nafaka inayopurwa.”
2 Et David consulta le Seigneur, disant: Me mettrai-je en campagne? Serai- je victorieux contre les Philistins? Le Seigneur répondit: Marche, tu vaincras les Philistins, et tu délivreras Cella.
Hivyo Daudi akamwomba BWANA kwa ajili ya msaada, na akamuuliza,” Je, niondoke niwapige hawa Wafilisti? BWANA akamwambia Daudi, “Nenda ukawapige Wafilisti na kuokoa Keila.”
3 Mais ses hommes lui dirent: Vois donc; ici même, en Juda, nous ne sommes point sans crainte; que sera-ce si nous marchons sur Cella, et si nous nous mesurons avec les forces des Philistins?
Daudi akaambiwa na watu wake, “Angalia, hapa Yuda tunaogopa. Je, si zaidi sana kama tutaenda Keila kupambana na majeshi ya Wafilisti?”
4 Et David consulta une seconde fois le Seigneur, et le Seigneur lui répondit: Pars, et marche sur Cella, car je te livrerai les Philistins.
Ndipo Daudi akamwomba BWANA kwa ajili ya msaada, bado tena, BWANA akamjibu, “Amka, uteremke hadi Keila. Maana nitakupatia ushindi dhidi ya Wafilisti.”
5 Et David, avec ses hommes, marcha sur Cella; il combattit les Philistins, qui s'enfuirent de devant sa face; il enleva leur bétail; il les frappa d'une grande plaie, et les habitants de Cella furent sauvés.
Daudi na watu wake wakaenda Keila na kupigana na Wafilisti. Wakahamisha ng'ombe wao na kuwapiga kwa mauaji makubwa mno. Hivyo Daudi akawaokoa wenyeji wa Keila.
6 Or, Abiathar, fils d'Abimélech, après s'être réfugié auprès de David, le suivit à Cella, tenant en sa main l'éphod.
Abiathari mwana wa Ahimeleki alipokuwa amekimbilia kwa Daudi huko Keila, alibeba naivera mkononi mwake.
7 On apprit à Saül que David était entré à Cella, et Saül dit: Dieu l'a livré à mes mains; il s'est lui-même enfermé, puisqu'il est entré dans une ville où il y a des portes et des barrières.
Sauli aliambiwa kwamba Daudi amekwenda Keila. Sauli akasema, “Mungu amemweka mkononi mwangu. Bila shaka amefungiwa ndani kwa sababu ameingia katika mji ulio na malango na makomeo.”
8 Alors, Saül enjoignit à tout le peuple de descendre sur Cella pour y assièger David et les siens.
Sauli akayaita majeshi yake yote kwa ajili ya vita, waende hadi Keila, wamteke Daudi na watu wake.
9 Et David sut que Saül ne cachait pas ses mauvais desseins contre lui; et David dit à Abiathar le prêtre: Apporte l'éphod du Seigneur.
Daudi alijua kwamba Sauli alikuwa anapanga njama za kumdhuru yeye. Ndipo akamwambia kuhani Abiathari kuhani, “Ulete hapa naivera.”
10 Et David dit: Seigneur Dieu d'Israël, votre serviteur a ouï dire que Saül désire marcher sur Ceïla, et détruire à cause de moi cette ville.
Kisha Daudi akasema, “BWANA, Mungu wa Israeli, mtumishi wako hakika amesikia kwamba Sauli anatafuta namna ya kuja Keila, ili auteketeze mji kwa ajili yangu.
11 Sera-t-elle investie? Saül y viendra-t-il, comme l'a ouï dire votre serviteur? Seigneur Dieu d'Israël, faites-le savoir à votre serviteur. Et le Seigneur répondit: Elle sera investie.
Je, watu wa Keila watanisalimisha mkononi mwake? Je, Sauli atashuka hadi huko, kama mtumishi wako alivyosikia? BWANA, Mungu wa Israeli, nakusihi, tafadhali mwambie mtumishi wako. “BWANA akasema, “Atakuja huko.”
12 Sera-t-elle investie? Saül y viendra-t-il, comme l'a ouï dire votre serviteur? Seigneur Dieu d'Israël, faites-le savoir à votre serviteur. Et le Seigneur répondit: Elle sera investie.
Kisha Daudi akauliza, “Je, watu wa Keila watanisalimisha mimi na watu wangu katika mkono wa Sauli?” BWANA akasema, “Watu hao watawasalimisha kwao.”
13 Et David se leva avec ses hommes au nombre de quatre cents; ils sortirent de Ceïla, et ils marchèrent tant qu'ils purent aller. On apprit à Saül que David s'était échappé de Cella, et il ne songea plus à l'assièger.
Kisha Daudi na watu wake, waliokuwa kama mia sita, walitoka na kwenda mbali na Keila, na wakazunguka kila sehemu. Kisha Sauli akaambiwa kwamba Daudi ametoroka kutoka Keila, hivyo akasitisha kumfuatia.
14 Et David campa à Massera dans le désert; il campa dans le désert sur la montagne de Ziph, en la terre aride, et Saül le cherchait tous les jours, et le Seigneur ne le livrait pas à ses mains.
Daudi alikaa ngomeni katika jangwa, kwenye nchi ya milima katika jangwa la Zifu. Kila siku Sauli alimtafuta, lakini Mungu hakumweka mkononi mwake.
15 Et David s'aperçut que Saül était venu le chercher; à ce moment, David était sur la montagne aride, en la nouvelle Ziph.
Daudi aliona kwamba Sauli amejitokeza kuangamiza maisha yake; basi Daudi alikuwa katika jjangwa la Zifu huko Horeshi.
16 Jonathan, fils de Saül, l'y alla trouver, et il le fortifia en Dieu,
Kisha Yonathani, mwana wa Sauli, akaamuka akaenda kwa Daudi huko Horshi, naye akamtia moyo amtumainie Mungu.
17 Et il lui dit: N'aie point crainte, la troupe de mon père ne te trouvera pas; tu règneras sur Israël, et je serai ton second; Saül, mon père, le sait.
Akamwambia, “Usiogope. Kwa maana mkono wa baba yangu Sauli hautakupata. Utakuwa mfalme juu ya Israeli, na mimi nitakuwa msaidizi wako. Baba yangu Sauli pia anajua hivyo.”
18 Ainsi, tous les deux firent alliance devant le Seigneur; puis, David resta en la Ville-Neuve, et Jonathan retourna chez lui.
Basi wote wawili wakafanya agano mbele za BWANA. Kisha Daudi alibaki Horeshi, na Yonathani akaenda nyumbani.
19 Et des Ziphéens montèrent de la terre aride à la colline où était Saül, et ils lui dirent: Ne sais-tu pas que David est chez nous caché à Massera, dans les défilés et en la Ville-Neuve, sur la colline d'Echéla, qui est à droite de Jessème?
Nndipo Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea wakisema, “Je, Daudi hakujificha kati yetu kwenye ngome huko Horeshi, juu ya mlima wa Hakila, ulioko kusini mwa Yeshimoni?
20 Maintenant donc que tout va au gré des désirs du roi, qu'il descende avec nous; il est enfermé entre les mains du roi.
Basi uje, mfalme! Kulingana na matakwa yako, uje! Kazi yetu itakuwa kumtia katika mkono wa mfalme.”
21 Et Saül leur dit: Soyez bénis au nom du Seigneur, parce que vous avez eu souci de moi.
Sauli akasema, “Mbarikiwe na BWANA. Kwa sababu mmenihurumia.
22 Partez, et faites de nouveaux apprêts; suivez ses pas dès qu'il ira quelque part, dans l'endroit que vous dites, de peur qu'il n'use de stratagème.
Nendeni, mhakikishe sawasawa. Tafuteni na kujua maficho yake yako wapi na ni nani amemwona huko. Nimeambiwa kwamba yeye ni mjanja sana.
23 Voyez, informez-vous, je vous suivrai; et, s'il est en cette contrée, je le chercherai avec les myriades des fils de Juda.
Kwa hiyo chunguzeni, mjue sehemu zote anakojificha. Baadaye rudini kwangu mkiwa na taarifa kamili, na kisha nitaongozana nanyi. Ikiwa yupo katika nchi, nitamtafuta kutoka miongoni mwa elfu zote za Yuda.”
24 Les Ziphéens s'éloignèrent, et ils précédèrent Saül. David et ses gens étaient dans le désert de Maon, au couchant, à la droite de Jessème.
Ndipo wakaamka na kwenda hadi Zifu mbele ya Sauli. Wakati huo Daudi na watu wake walikuwa katika jangwa la Maoni, huko Araba upande wa kusini mwa Yeshimoni.
25 Saül et les siens l'y allèrent chercher; mais David en fut averti, et il descendit dans les rochers du désert de Maon; et Saül, le sachant, poursuivit David dans le désert de Maon.
Sauli na watu wake wakaenda kumtafuta Daudi. Na Daudi akaambiwa habari hiyo, hivyo akateremka hadi kwenye mlima wa miamba na akakaa katika jangwa la Maoni. Sauli aliposikia hivyo, akamfukuza Daudi katika Jangwa la Maoni.
26 Or, Saül et ses hommes cheminaient sur l'un des flancs de la montagne, et David et ses hommes sur l'autre flanc, celui-ci s'efforçant de se cacher de l'autre, qui, avec les siens, campait près de lui et de sa troupe, afin de les prendre;
Sauli akaenda akawa upande mmoja wa mlima, na Daudi na watu wake walikuwa wakienda upande mwingine wa mlima. Daudi kwa haraka akatoweka akae mbali na Sauli. Kwa sababu Sauli na watu wake walikuwa wakimzunguka Daudi na watu wake wawakamate,
27 Quand un messager vint à Saül, disant: Hâte-toi, accours, les Philistins ont envahi notre territoire.
mjumbe mmoja akaja kwa Sauli na kusema, “Njoo, harakisha maana Wafilisti wamepanga uvamizi juu ya nchi.”
28 Saül s'en retourna donc; il cessa de poursuivre David, et il marcha contre les Philistins. A cause de cela, ce lieu s'appelle la Roche de la Séparation.
Kwa hiyo Sauli akarudi asimfuatie Daudi na akaenda kupambana na Wafilisti. Kwa hiyo sehemu ile iliitwa Mwamba wa Maficho.
29 David partit de là, et il campa dans les défilés d'Engaddi.
Daudi akapanda kutoka huko na kukaa katika ngome ya Engedi.

< 1 Samuel 23 >