< 1 Samuel 2 >
1 Mon cœur s'est affermi dans le Seigneur, ma force s'est relevée en mon Dieu, ma bouche s'est dilatée contre mes ennemis; je me suis réjouie, parce que vous m'avez sauvée.
Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia Bwana, katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2 Car nul n'est saint comme le Seigneur, nul n'est juste comme mon Dieu, nul n'est saint, hormis vous.
“Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
3 Ne vous glorifiez pas, ne dites point de paroles superbes; que nul mot résonnant ne sorte de votre bouche, parce que le Seigneur est le Dieu des sciences, et que Dieu prépare ses desseins.
“Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi, kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye, na kwa yeye matendo hupimwa.
4 L'arc des puissants a été énervé, et les faibles se sont revêtus de force.
“Pinde za mashujaa zimevunjika, lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.
5 Ceux qui regorgeaient de biens ont été humiliés, et les pauvres n'ont pas eu de regards pour la terre, parce que la stérile a enfanté sept fois, et que celle qui avait beaucoup d'enfants a perdu sa fécondité.
Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha wenyewe ili kupata chakula, lakini wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Mwanamke yule aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi amedhoofika.
6 Le Seigneur distribue la mort et la vie; il conduit aux enfers et il en ramène. (Sheol )
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
7 Le Seigneur appauvrit et il enrichit; il abaisse et il élève;
Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
8 Il tire l'indigent de la poussière et le mendiant de la fange, pour les faire asseoir parmi les puissants du peuple, et leur donner en héritage un trône de gloire;
Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
9 Il accomplit les vœux des suppliants; il bénit les années du juste, tandis que l'homme, par sa propre force, ne peut rien.
Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake, lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza. “Si kwa nguvu mtu hushinda;
10 Le Seigneur réduit à la faiblesse son adversaire; Le Seigneur est remonté aux cieux; il a fait retentir son tonnerre, il jugera jusqu'aux extrémités de la terre. Il donne à nos rois leur puissance, et il élèvera la force de son Christ.
wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; Bwana ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”
11 Après cela, elle laissa l'enfant devant le Seigneur, et elle retourna en Armathaïm. Cependant, l'enfant était employé au service du Seigneur, devant le prêtre Héli.
Kisha Elikana akaenda nyumbani Rama, lakini mtoto akahudumu mbele za Bwana chini ya kuhani Eli.
12 Et les fils d'Héli le prêtre étaient des enfants de pestilence, ne connaissant pas le Seigneur.
Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana.
13 Or, tel était le droit du prêtre: quand quelqu'un du peuple venait sacrifier, le serviteur du prêtre arrivait aussitôt que les chairs étaient cuites, tenant à la main une fourchette.
Basi ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu kwamba kila mara yeyote anapotoa dhabihu na huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake.
14 Il la plongeait dans la grande marmite, de terre ou d'airain, et tout ce que saisissait la fourchette était pour le prêtre. Voilà ce qui se faisait à l'égard de tous ceux d'Israël qui venaient en Silo sacrifier au Seigneur.
Angeutumbukiza huo uma kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe chochote ambacho uma ungekileta. Hivi ndivyo walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo.
15 Et avant que l'on brûlât la graisse, en odeur de suavité pour le Seigneur, le serviteur du prêtre accourait, et disait à l'homme qui offrait le sacrifice Donne-nous de la chair pour que le prêtre la fasse rôtir, et nous ne te prendrons pas de chair bouillie dans la marmite.
Lakini hata kabla mafuta ya mnyama hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako, ila iliyo mbichi tu.”
16 A quoi l'homme venu pour sacrifier répondait: Laisse-nous d'abord brûler la graisse, comme il convient, et tu prendras pour toi tous les morceaux que ton âme désire. Mais il disait: Non, donne-les-moi tout de suite, ou je les prendrai de force.
Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya mnyama na yachomwe kwanza, ndipo uchukue chochote unachotaka,” mtumishi angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi nitaichukua kwa nguvu.”
17 Le péché des fils du prêtre était très grand devant le Seigneur, parce qu'ils méprisaient le sacrifice du Seigneur.
Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa sana machoni pa Bwana, kwa kuwa waliitendea dhabihu ya Bwana kwa dharau.
18 Cependant, Samuel était employé au service du Seigneur, et l'enfant était revêtu d'un éphod de lin.
Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele za Bwana, kijana akivaa kisibau cha kitani.
19 Sa mère lui fit en outre un petit manteau double, et elle le lui apporta le jour de la fête, lorsqu'elle monta avec son mari pour faire le sacrifice de la saison.
Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.
20 Et Héli bénit Elcana et sa femme, disant: Que le Seigneur, en te donnant des enfants de cette femme, te récompense du serviteur que tu lui as consacré. Et l'homme retourna à sa maison.
Eli alikuwa akiwabariki Elikana na mkewe, akisema, “Bwana na akupe watoto kwa mwanamke huyu ili kuchukua nafasi ya yule aliyekuwa amemwomba na akamtoa kwa Bwana.” Kisha wakawa wanakwenda nyumbani.
21 Et le Seigneur visita Anne; elle enfanta encore trois fils et deux filles; et Samuel avait grandi devant le Seigneur.
Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.
22 Or, Héli était très avancé en âge; il apprit ce que faisaient ses fils aux fils d'Israël.
Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi walivyokutana kimwili na wanawake waliohudumu kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
23 Et il leur dit: Pourquoi faites-vous les choses que j'ai ouïes de la bouche de tout le peuple du Seigneur?
Hivyo akawaambia, “Kwa nini mmefanya mambo kama haya? Nimesikia kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo yenu maovu.
24 Ne les faites plus, enfants, car la nouvelle que j'ai entendue n'est pas une bonne nouvelle; ne vous conduisez plus ainsi; car ce ne sont pas de bonnes nouvelles quand on me rapporte que vous empêchez le peuple de servir Dieu.
Sivyo, wanangu, hii si habari nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa watu wa Bwana.
25 Si un homme pèche contre un homme, on adressera pour lui des prières au Seigneur; mais s'il a péché contre le Seigneur, qui priera pour lui? Mais ils n'écoutèrent pas la voix de leur père, parce que le Seigneur voulait les détruire.
Kama mtu akifanya dhambi dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu akimfanyia Mungu dhambi, ni nani atakayemwombea?” Hata hivyo wanawe hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu Bwana alitaka kuwaua.
26 Et le jeune Samuel marchait; il était bon avec le Seigneur et avec les hommes.
Naye kijana Samweli akaendelea kukua katika kimo, akimpendeza Bwana na wanadamu.
27 Alors, un homme de Dieu vint auprès d'Héli, et dit: Voici ce que dit le Seigneur: Je me suis révélé à la famille de ton père quand elle était encore en Égypte, esclave dans la maison du Pharaon.
Basi mtu wa Mungu akaja kwa Eli na kumwambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa huko Misri chini ya Farao?
28 J'ai choisi la famille de ton père, parmi les puissants d'Israël, pour me servir, monter à l'autel, brûler de l'encens et porter l'éphod. J'ai donné à la famille de ton père, pour sa nourriture, une part de tout ce que les fils d'Israël offrent en sacrifice.
Nilimchagua baba yako kati ya makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote zilizotolewa kwa moto na Waisraeli.
29 Pourquoi donc as-tu regardé d'un œil avide mes victimes et mon encens? Pourquoi donc as-tu donné plus de gloire à tes fils qu'à moi, au point qu'ils consomment avant moi les prémices de toutes les victimes d'Israël?
Kwa nini unadharau dhabihu zangu na sadaka zile nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kwa kula sehemu zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu wangu wa Israeli?’
30 A cause de cela, voici ce que dit le Seigneur Dieu d'Israël: J'avais dit: Ta famille, la famille de ton père se tiendra près de moi à toujours. Et maintenant, le Seigneur dit: Non, parce que je glorifierai ceux qui me glorifient, et que celui qui me méprise sera méprisé.
“Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa Bwana anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa.
31 Voilà que les temps approchent où j'exterminerai ta race, la postérité de ton père.
Wakati unakuja nitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu ya nyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katika mbari yenu atakayeishi kuuona uzee
32 Il n'y aura plus jamais en ma maison un seul vieillard de ta race.
nanyi mtaona huzuni katika makao yangu. Ingawa Israeli watafanyiwa mema, katika mbari yenu kamwe hapatakuwepo mtu atakayeishi hadi kuwa mzee.
33 Et celui des tiens que je n'exterminerai pas en l'éloignant de mon autel, ses yeux s'éteindront, sa vie se consumera; et tout le reste périra par le glaive des hommes.
Kila mmoja wenu ambaye sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao wazao wenu wote watakufa watakapokuwa wamefikia umri wa kustawi.
34 Or, voilà pour toi le signe, et il viendra sur tes deux fils, Ophni et Phinéès: ils mourront tous les deux le même jour.
“‘Kile kitakachotokea kwa wanao wawili, Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote wawili watakufa katika siku moja.
35 Je susciterai alors pour moi un prêtre fidèle, qui pratiquera tout ce qui est en mon cœur et en mon âme; j'édifierai pour lui une maison fidèle, et il passera devant mon Christ, à jamais.
Mimi mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu, ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu mbele ya mpakwa mafuta wangu daima.
36 Celui de ta famille qui survivra, viendra se prosterner devant lui pour une obole, et dira: Admets-moi à l'une de tes distributions sacerdotales, afin que je mange du pain.
Kisha kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze kupata chakula.”’”